Bin Faza
JF-Expert Member
- Jun 12, 2013
- 502
- 191
Wana JF
Wengi ya washabiki wanaojadili mapinduzi haramu ya zanizbar ya 1964, wanakuwa wanasema watakavo au kwa mujibu wa taaluma walizipata kutoka kwa vyombo vya habari vya tz au wana propaganda wabaguzi wa ASP/TANU/CCM
Wengi wanashindwa kujiuliza ni nini hasa kiljiri siku hizo,lakini ukweli ni kwamba watu wapatao 17,000 (wakiwemo wanawake, watoto, vizee na wagonjwa) waliuliwa bila hatia yoyote kwa usiku mmoja kosa lao kubwa ni kuwa Mungu wamewajaala kuzaliwa kutoka familia za kiarabu kwahivo kabila na rangi zao ndio zilowasababisha kuuliwa kinyama kabisa. masaka kubwa hii ambayo hadi sasa haizungumzwi kisheria.
La kushangaza zaidi ni kwamba wengi ya washabiki hawa hawajui kwamba mapinduzi/mauwaji hayo yalirikodiwa live na wataliana na waingereza.
suala hapa ni kwanini watalaiana? walijuwaje kwamba tarehe 12 jan usiku wa 1964 kutakuwa na mapinduzi zanzibar? nani alowaalika kwenda kurikodi mauwaji hayo? waingereza ingaingia akilini kwasababu wao ndio waliokuwa wakitawala east afrika yote
video hapo chini for your watching pleasure
ikiwa hujui kitaliana, nyengine zimefasiriwa kwa kiarabu na subtitled kwa english
Wengi ya washabiki wanaojadili mapinduzi haramu ya zanizbar ya 1964, wanakuwa wanasema watakavo au kwa mujibu wa taaluma walizipata kutoka kwa vyombo vya habari vya tz au wana propaganda wabaguzi wa ASP/TANU/CCM
Wengi wanashindwa kujiuliza ni nini hasa kiljiri siku hizo,lakini ukweli ni kwamba watu wapatao 17,000 (wakiwemo wanawake, watoto, vizee na wagonjwa) waliuliwa bila hatia yoyote kwa usiku mmoja kosa lao kubwa ni kuwa Mungu wamewajaala kuzaliwa kutoka familia za kiarabu kwahivo kabila na rangi zao ndio zilowasababisha kuuliwa kinyama kabisa. masaka kubwa hii ambayo hadi sasa haizungumzwi kisheria.
La kushangaza zaidi ni kwamba wengi ya washabiki hawa hawajui kwamba mapinduzi/mauwaji hayo yalirikodiwa live na wataliana na waingereza.
suala hapa ni kwanini watalaiana? walijuwaje kwamba tarehe 12 jan usiku wa 1964 kutakuwa na mapinduzi zanzibar? nani alowaalika kwenda kurikodi mauwaji hayo? waingereza ingaingia akilini kwasababu wao ndio waliokuwa wakitawala east afrika yote
video hapo chini for your watching pleasure
ikiwa hujui kitaliana, nyengine zimefasiriwa kwa kiarabu na subtitled kwa english
Last edited by a moderator: