RED Xs
Sikusema kwamba zanzibar ni sawa na uarabuni, ukiwa utarejea makala zangu utakuta ninsema znz ni sehemu ya watu mchanganyiko. na sisi shatujisikii katik auafrika kama munavojisikia nyinyi huko tanganyika.
Ikiwa Marco Polo kasema kweli basi hiyo ni kuonesha dhahiri kwamba zanzibar ilikuwa ni sehemu ya watu mnyanganyiko tangu siku hizo......sababu mtu mweusi + nywele za singa nadhani mtu huyu anaweza kuitwa chotara..........mix ...kwani mwafrika ana nywele kipilipili.
Kumumbuka tu kwamba marko Polo alikuwa zanizbar mnano mwaka 1295.
sijui point yako hasa hapa uliposema mwarabu anakuwa mwarabu tu kwanza sababu ya lugha...........lakini nitapenda nisikubaliane na wewe kwamba lugha ndio inayompa mtu kabila yake..... ninao marafiki kibao tu hapo dar wenye asili za kinyamwezi, kichaga na kabila nyenginezo za mikoani lakini hawazungumzi lugha zao za kikabila, pengine na wewe ni mmoja katika kundi hilo. lakini bado huniambie mimi ni mchaga au mnyamwezi au kabila ingine lakini nimezaliwa na kukuwa dar siongei kiluga. sasa jee na hao utawasema sio watu wa kabial hizo kwasababu hawaongeo lugha za kabila zao......????
Pia sipendi ufikiri kamba labda hao waafrika waliokuwepo zanzibar miaka hiyo walipofika wasafiri wa kiarabu kama vile Masuud mwaka 916 walikuwa watanganyika. No walikuwa ni wazanzibari, na watanganyika walikuwa watanganyika ijapokuwa nchi 2 hizi zilikuwa na maina tofauti siku hizo
Kiarabu hakifanywa lugha kuu ya kwa zenj empire nadhani walikuwa na sababu hizo hizo kama waliokuwanazo wazungu waliokwenda kule afrika kusini........huku kwetu wakafanya lugha ya kiswahili ...mix kibantu + kiarabu..........kule afrika kusini wakafanya lugha ya Afrikaans..........mix lugha za kizulu + kidachi
Kitabu kizuri sana hiki, utaona mambo mengi ambayo watu wanapenda kudanganyana kila siku juu yao