Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Watu wengi wamekuwa wakisema nchi za Afrika zina migogoro na vikundi vingi vya waasi sababu ya biashara ya silaha ya mataifa ya nje ambayo yamekuwa yakiuza silaha kwa vikundi vya waasi
Haya ndio mataifa yanayoongoza kwa kuuza silaha za mauaji Afrika
Haya ndio mataifa yanayoongoza kwa kuuza silaha za mauaji Afrika