Haya ndio mataifa yenye resources kubwa Duniani

Haya ndio mataifa yenye resources kubwa Duniani

Tafiti za kizungu hizo hutaona nchi za kiafrika zikiwekwa kwenye list. Ziwekwe wazi wakati makampuni Yao ndiyo yanayochimba au kuinvest kwenye hizo natural resources
Tafiti za Kiafrika ndio zinaweza zikawa na nchi za kiafrika mkuu?
Raiti kama Africa ingekua nchi moja, ingeweza kuwa kwenye list, na hicho ndicho mabeberu walichokitaka. They never want Afrika to Unite.
 
Back
Top Bottom