lukelo sakafu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 2,938
- 517
mmh.sijui ndio matunda au matokeo ya uswahiba ila ki ukweli pale hakuna kipaji cha kutisha ni msanii wa kawaida sana kama msaga sumu, yetu macho ni hii ndio bongo bana. sijui baada ya uchaguzi huyu ndugu yetu atapata wapi swahiba mwingine.
Unamzungumzia nani?..
Hv vilaza mtaondoka lini humu Jf patulie
Tusio wambea mnatutesa sana! eti Evelyn Salt nini kinazungumzwa hapa?
Ndo kashakua icon sasa na sooon atawekwa kwenye noti ya elfu tatu
nani huyo?
shilole
nani huyo?
huyu nanii....
mmh.sijui ndio matunda au matokeo ya uswahiba ila ki ukweli pale hakuna kipaji cha kutisha ni msanii wa kawaida sana kama msaga sumu, yetu macho ni hii ndio bongo bana. sijui baada ya uchaguzi huyu ndugu yetu atapata wapi swahiba mwingine.
Tusio wambea mnatutesa sana! eti Evelyn Salt nini kinazungumzwa hapa?
Ukisoma uzi zake zilizopita hana mwingine amayemponda kama Diamond Platnumz so ndie anayemsema....sijui imekuwaje ila ndio maana karusha uzi huu...kajifunza kutomtaja jina kumpa promo siku hizi...nadhani kumuona na Z wanaenda Zanzibar jana imemkologa. Ndio kaandika.