Haya ndio matokeo ya tarehe 8 Kariakoo Derby, Simba 3 vs Yanga 1. Kinyume na hapo nafuta account yangu ya JamiiForums na sishabikii mpira tena

Haya ndio matokeo ya tarehe 8 Kariakoo Derby, Simba 3 vs Yanga 1. Kinyume na hapo nafuta account yangu ya JamiiForums na sishabikii mpira tena

No penat, no 3 points
1000201500.jpg
1000239855.jpg

No udhamini no point
 
Game za hivi karibuni Simba hucheza kwa kasi dakika 20 za mwanzo. Yanga ni wakomavu, huvumilia presha hiyo na kuanza kujipanga taratibu. Ikifika dakika ya 70 Yanga hupiga msako wa hatari na mwisho Simba anaachia. So Yanga anacheza kikubwa zaidi
 
Huwa mnaanza hivi kabla ya matokeo halisi ya mechi!!, Baada ya dk 90 kilio kinakuwa maduka yenu mara bahasha ya Gsm. Sasa awamu hii tuambieni tatizo lefa,bahasha au bado kuna maduka yenu.... Maana naamini atakaye wachomesha ni Chemalone.
 
Wazaramo Wenye Mji wao wanasema
"Usinene ukamala"
Usiongee Ukamaliza.

Kikwetwe alipokwenda zanzibar Kusikiliza kero za Muungano
Wazanzibar walitapika Nyongo. Kikwete akasema Muwe mnabakisha maneno ya kesho.

USHAURI TU.
Nimecheka sana hiyo kauli ya Mzee Jakaya Kikwete.
Kweli alisema hayo?
 
Kabla hujatoa ahadi kama hii jiulize hii ID yako unayotaka ifutwe ina manufaa gani hapa JF? Mnatoa ahadi ambazo mna uhakika haziwezi kutekelezeka kwa sababu hakuna matokeo kama hayo yatatokea. Low minded kolos wenzako wanafall kwenye huo mtego wako wa kitoto.
 
Wanafunzi wa Yezu walimwambia Bathelomayo kipofu...
(JIPE MOYO ANAKUITA)😂
 
Daah aisee unajiamini kwa kutabiri mechi ya Simba vs Yanga na unaapia kabisa inaonekana wewe ni mgeni wa hizi Derby kabisa ukiweza anza utaratibu wa kuifuta hii account mapema tu..
 
Huwa mnaanza hivi kabla ya matokeo halisi ya mechi!!, Baada ya dk 90 kilio kinakuwa maduka yenu mara bahasha ya Gsm. Sasa awamu hii tuambieni tatizo lefa,bahasha au bado kuna maduka yenu.... Maana naamini atakaye wachomesha ni Chemalone.
Ulinifunga wakati sina elie mpanza sasa hivi nna mpanzu unanifungaje mimi?
 
Kabla hujatoa ahadi kama hii jiulize hii ID yako unayotaka ifutwe ina manufaa gani hapa JF? Mnatoa ahadi ambazo mna uhakika haziwezi kutekelezeka kwa sababu hakuna matokeo kama hayo yatatokea. Low minded kolos wenzako wanafall kwenye huo mtego wako wa kitoto.
Sasa hivi nna elie mpanzu unanifungaje sasa?
 
Back
Top Bottom