Objective football
JF-Expert Member
- Oct 21, 2023
- 1,195
- 2,771
- Thread starter
-
- #21
sahihi chiefKipindi hicho hakukuwa na goal line technology. Kwa tension ya ile game haikuwa rahisi refa kuona Kila kitu hasa mpira uliovuka mstari Kwa juu, Bora ingekuwa chini.
mkuu acha kumtetea refa mpuuzi kwa maamuz ya kipuuzi,Kipindi hicho hakukuwa na goal line technology. Kwa tension ya ile game haikuwa rahisi refa kuona Kila kitu hasa mpira uliovuka mstari Kwa juu, Bora ingekuwa chini.
Suarez alijua kutuvuruga jinga lile
Sitaisahau hiyo fainaliKuna ile fainali ya champions league dakika za nyongeza man u anapiga comeback dhidi ya bayern munich mwaka 99.
Aguero madako yakeee1.Man Utd 8 - 1 Arsenal
2.UCL final 2005 HT: AC Milano 3-0 Liverpool, the lest is history.
3.EPL 2011/12 final game QPR Vs City, Aguero's last minute goal.
Mimi pia nilikua mdogo sana hata primary sijaanza ila nakumbuka baadhi ya matukiomkuu hii nimeisikia tuu, kwa age yangu nilikua chalii sana
Hapakua na var wala goal line technology refa akuona kama mpira umevuka mstari. Kwa faida ya timu yake alichokifanya suarez ni sawa katika mazingira yale hata ningekua mimi ningeudaka ule mpirasuarez akudaka mpira ukiwa unaelekea golini, mpira ulishavuka line wote yaani aliutoa golini, refa ndo alikuwa mduazi badala ya kuita mpira kati, akaishia kumpa kadi na kutoa penalt. kimsingi ndo maana suarez alishagoma kuomba msamaha kwa kile kitendo. wa kulaumiwa ni refa na wasaidizi wake sio suarez.