Haya ndio matukio 8 ambayo hayawezi sahaulika kwa wadau wa soka Tanzania na kote Duniani

Kuna matukio ya kukumbuka kama head butt ya zidane, miracle in instanbul, Suarez saga, n.k n.k

Lkn kiboko yao na kubwa kuliko ambalo sitokuja kulisahau ni lile la simba 1-5 yanga. Kmmmmk nilishangilia kis**nge
 
Hapakua na var wala goal line technology refa akuona kama mpira umevuka mstari. Kwa faida ya timu yake alichokifanya suarez ni sawa katika mazingira yale hata ningekua mimi ningeudaka ule mpira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…