Haya Ndio Yanachelewesha Mafanikio Yako

Dah kwa Idadi ya wavivu na Wazembe walioko Tanzania Nafikiri Tungekuwa Matajiri ni 50 Percent na 50% ya Invention zingekuwa Tanzania.Unless uniambie kwamba Tanzania hakuna Wavivu na Wazembe
Mimi nimemuelewa vizuri sana jamaa pointi yake na yuko sahihi.
Amemaanisha wavivu na wazembe walio smart kichwani,maana unaweza kuwa mvivu na kichwani zero hakuna unachokiwaza hapo utaendelea kuwa maskini wa kutupwa.
Wakati sisi tunalima shamba kwa mikono yetu mzungu kwa vile ni mvivu na yuko smart kichwani akabuni trekta ili kurahisisha kazi ya kilimo.
 
Zote ni sababu za kuparazia ..

Point kubwa ni utegemezi mkubwa kutoka kwa wazazi na familia kama unatokea famili za kimaskini hata ukiwa na ajira na biashara ndogo ndogo ....Jiandae kurudi nyuma unakuwa na mzigo wa wategemezi mapema.
 

Bless
 
Mkuu,Staying alive,Healthy,Happy and Free ni Moja kati ya Mafanikio ambayo naweza kuyaweka kama mfano Mengine ni chachu tu hata nikiyaweka hayatabadili kitu katika msingi wa hoja yangu

Hapo kwenye happy and free wengi ndio tumekwama.
 
Tatizo la Tanzania elimu yetu haileti "critical thinkers" or obstruct thinkers mambo mengi yanao andikwa ni ya kawaida sana
Kwa sababu elimu yetu haiko practical oriented ni vitu tunakaririshana miaka na miaka lakini hakuna aliyewahi kuvijaribu au kuvitumia akaona matokeo.
Unakuta Lecturer wa Business Studies ana Phd na anajiita mbobezi wa masuala ya biashara lakini hajawahi kufanya biashara hata ya kuuza pipi au karanga.
 
Nakubali na hoja ndio maana nyerere aliu dislike ubepari baada ya kuona Kuna wazungu kazi Yao kubwa ilikua kuzunguka Shambani akasema ukiwauliza wao ni wakinani walisema wao ni industrist nyerere akasema haiwezekani huu ni wizi akaenda zake ujamaa matokeo yake ndio haya.
 
Ila hii noma sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…