Haya ndiyo maajabu niliyojionea mlima wa Hanang Katesh Manyara

Mi nakumbuka nilianza kupanda huo mlima saa kumi na mbili kasoro alfajili nikafika kileleni saa saba mchana. Kimbembe ni kwenye kushuka sasa kuna mahali unakutana na steep slopes unaweza tamani ukae ushuke kwa kal.io mdogomdogo. Ila siku hizi wameweka camps unaweza kulala then unaendelea na safari next day

Kuna njia ya kutokea Katesh, Gendabi au Gitting unachagua mojawapo japo ya kutokea Katesh ndo famous
 
Mkuu sisi tulitumia masaa6 tu tulikuwa wengi ila wa3 ndo tulifika mapema zaidi. Hatukumzika hata kidogo sisi watatu Kwa kushuka hata masaa2 hayakuifka tukawa chini porini kilichofata nikuachuma mirungi tu ya kubeba.
 
Kwa hio ni wa 4 au wa 7?
 

Attachments

  • Screenshot_20241103_092229_Chrome.jpg
    212.5 KB · Views: 2
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…