Haya ndiyo maandamano ya ovyo kuwahi kutokea katika nchi yetu. Hata wanaoandamana hawajui kwanini wanaandamana!

Haya ndiyo maandamano ya ovyo kuwahi kutokea katika nchi yetu. Hata wanaoandamana hawajui kwanini wanaandamana!

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Ukitaka soma, ukitaka acha lakini ukweli ni kwamba haya maandamano ya Freeman na washirika wake ni ya hovyo na sijawahi kushuhudia.

Wanaojua kwa nini wanaandamana ni freemani na washirika wake, lakini waandamanaji hawajui kitu chochote!

Hawajui kwa nini wanatembezwa kwenye jua Kali mchana kutwa, hawajui na nawaonea huruma kwakuwa hawajui.

Wakina Freeman wakimaliza maandano jioni ya Leo watakuwa hotelini wakila minofu ya kuku na kushushia john walker pamoja na k vant! Wenzangu na Mimi watakuwa Ituha, Isyesye, Ilemi na Ilolo wakitafuna numbu na kulala fofofo.

Wenzao yaani ile big 8 hawako pale kupoteza muda, wapo kazini na jioni posho inaenda kwa familia zao, nyinyi walala hoi mnaowasindikiza mpaka uwanjani wakabwabwaje Kisha wasema pipooz na nyinyi kwa njaa Kali mtaitikia poweeer.

Mnaonekana malofa! Watanzania tuamke, Tusiwe madaraja au mirija ya kuwaburudisha watu.


Kwa nini hatubadiliki? Wakienda ujerumani wakirudi hawasemi walichovuna kule! Chadema walipewa magari na pesa nyingi na wadau mbalimbali ,yakaishia kusikojulikana big 8 hawajawahi kusema popote.

Chadema hawana mpango wa kuwa watawala ila wanatumia siasa kama kazi na mtaji wao ni sisi manamba tunaovaa kombati na kuingia mabarabarani bila sababu! Tugutuke.
 
Ukitaka soma, ukitaka acha lakini ukweli ni kwamba haya maandamano ya Freeman na washirika wake ni ya hovyo na sijawahi kushuhudia.

Wanaojua kwa nini wanaandamana ni freemani na washirika wake, lakini waandamanaji hawajui kitu chochote!

Hawajui kwa nini wanatembezwa kwenye jua Kali mchana kutwa ,hawajui na nawaonea huruma kwakuwa hawajui.

Wakina Freeman wakimaliza maandano jioni ya Leo watakuwa hotelini wakila minofu ya kuku na kushushia john walker pamoja na k vant! Wenzangu na Mimi watakuwa Ituha, Isyesye, Ilemi na Ilolo wakitafuna numbu na kulala fofofo.

Wenzao yaani ile big 8 hawako pale kupoteza muda, wapo kazini na jioni posho inaenda kwa familia zao, nyinyi walala hoi mnaowasindikiza mpaka uwanjani wakabwabwaje Kisha wasema pipooz na nyinyi kwa njaa Kali mtaitikia poweeer.

Mnaonekana malofa! Watanzania tuamke, Tusiwe madaraja au mirija ya kuwaburudisha watu.

Kwa nini hatubadiliki? Wakienda ujerumani wakirudi hawasemi walichovuna kule! Chadema walipewa magari na pesa nyingi na wadau mbalimbali ,yakaishia kusikojulikana big 8 hawajawahi kusema popote.

Chadema hawana mpango wa kuwa watawala ila wanatumia siasa kama kazi na mtaji wao ni sisi manamba tunaovaa kombati na kuingia mabarabarani bila sababu! Tugutuke.
Ww unaumia wapi au nini kina ku uma

Kama unawaonea huruma kweli

Wa ambie hao wezi wenzio wa lumumba

Wapunguze gharama za maisha

Wewe umewaona viongozi wa chadema tu ndio wanakula bata

Hila viongozi wako wa lumumba mbona uwahoji
hela za tozo zinaenda wapi kodi wanazo chukua zinafanya kazi gani

mbona kila kitu kipo juu
Tena mbaya zaidi
hao chadema unao watuhumu hawana t r a wala hawachukui kodi ya mtu yoyote

Kweli wewe wa ajabu sana

Tena mwenyewe baada yakuona umeandika ugoro

Uka amua kusema kwa hasira ukitaka soma ukitaka acha

Yani maandamano ya mikoa mitatu tu

Teari watu wa lumumba msha anza kupagawa

Je ingekua mikoa kumi si mngezimia eti nawaonea huruma
kama unawaonea huruma kweli si uwa ambie hao mabosi zako wa lumumba waondoe hizo changa moto

Zilizo wafanya wakaenda Juani

Inatakiwa ujionee huruma kwanza kwakujitoa ufahamu

Halafu ndio uonee huruma wwnzio
 
Wahuni ni wengi mandamano hayakuhusu unaumia na nini?. Kula kuku kwa Mbowe hakuna tofauti na wanaotaka kununua ndege ya viongozi wakati maisha ni magumu sukari tu ni shida je, maji, umeme vipo kwa hawa wasiokula kuku?.
 
We Mganguzi, swali rahisi tu nikuulize, waulize CCM wanapata ruzuku kiasi gani ?? na wewe chawa wanakupa buku ngapi ?? wakikujibu njoo hapa tulumbane kwa sababu wewe ni dodoki tu unatumika hujui unalofanya
Silipwi na ccm ,naongea ukweli unaouma! Ni kwamba baada ya maandamano wao watalipana posho ! Mimi na wewe tutaendelea kupaluana hapa bila sababu
 
Kweli aiseeee

Screenshot_2024-02-20-17-45-58-1.png
 
Ukitaka soma, ukitaka acha lakini ukweli ni kwamba haya maandamano ya Freeman na washirika wake ni ya hovyo na sijawahi kushuhudia.

Wanaojua kwa nini wanaandamana ni freemani na washirika wake, lakini waandamanaji hawajui kitu chochote!

Hawajui kwa nini wanatembezwa kwenye jua Kali mchana kutwa, hawajui na nawaonea huruma kwakuwa hawajui.

Wakina Freeman wakimaliza maandano jioni ya Leo watakuwa hotelini wakila minofu ya kuku na kushushia john walker pamoja na k vant! Wenzangu na Mimi watakuwa Ituha, Isyesye, Ilemi na Ilolo wakitafuna numbu na kulala fofofo.

Wenzao yaani ile big 8 hawako pale kupoteza muda, wapo kazini na jioni posho inaenda kwa familia zao, nyinyi walala hoi mnaowasindikiza mpaka uwanjani wakabwabwaje Kisha wasema pipooz na nyinyi kwa njaa Kali mtaitikia poweeer.

Mnaonekana malofa! Watanzania tuamke, Tusiwe madaraja au mirija ya kuwaburudisha watu.

Kwa nini hatubadiliki? Wakienda ujerumani wakirudi hawasemi walichovuna kule! Chadema walipewa magari na pesa nyingi na wadau mbalimbali ,yakaishia kusikojulikana big 8 hawajawahi kusema popote.

Chadema hawana mpango wa kuwa watawala ila wanatumia siasa kama kazi na mtaji wao ni sisi manamba tunaovaa kombati na kuingia mabarabarani bila sababu! Tugutuke.
Nenda kaandamane sababu ya ggy money na wakata mauno wengine
Haya maandamano ya cdm achana nayo

Ova
 
Haina tofauti na wanachama wengi wa CCM ambao wanaburuzwa kwenda kupiga kura na hawajui kwa nini wanachagua chama kinacholikwamisha Taifa kimaendeleo..

Wachache ndani ya CCM ndo wanafaidika
Ccm haiwafaidishi wachache ! Maendeleo yanaonekana ! Hakuna Kijiji sasa ambacho hakina shule Wala zahanati, kupitia sisi watoto wetu wanasoma Bure! Kupitia ccm lami zinatandazwa Kila mahali na nyinyi mnapata na mahali pa kupita ili muandamane ! Ukiendelea kubisha mura jiandae kupata kerebu
 
Tunajua mumepewa Mshiko na Tulia Jimbo linayoyoma hilo Sugu anarejea✌️✌️✌️
Sugu hawezi kurejea labda ni mshauri sugu ,kama ana nia ya kwenda bungeni kweli ,atafute Jimbo lingine ila kama anataka kupoteza muda wake aendelee kuhangaika mbeya mjini
 
Ww unaumia wapi au nini kina ku uma

Kama unawaonea huruma kweli

Wa ambie hao wezi wenzio wa lumumba

Wapunguze gharama za maisha

Wewe umewaona viongozi wa chadema tu ndio wanakula bata

Hila viongozi wako wa lumumba mbona uwahoji
hela za tozo zinaenda wapi kodi wanazo chukua zinafanya kazi gani

mbona kila kitu kipo juu
Tena mbaya zaidi
hao chadema unao watuhumu hawana t r a wala hawachukui kodi ya mtu yoyote

Kweli wewe wa ajabu sana

Tena mwenyewe baada yakuona umeandika ugoro

Uka amua kusema kwa hasira ukitaka soma ukitaka acha

Yani maandamano ya mikoa mitatu tu

Teari watu wa lumumba msha anza kupagawa

Je ingekua mikoa kumi si mngezimia eti nawaonea huruma
kama unawaonea huruma kweli si uwa ambie hao mabosi zako wa lumumba waondoe hizo changa moto

Zilizo wafanya wakaenda Juani

Inatakiwa ujionee huruma kwanza kwakujitoa ufahamu

Halafu ndio uonee huruma wwnzio
Ukweli ni kwamba ukishakuwa manamba wa wanasiasa hakuna unachoelewa
 
Nenda kaandamane sababu ya ggy money na wakata mauno wengine
Haya maandamano ya cdm achana nayo

Ova
Siwezi kuachana nayo kwa sababu yanaleta umaskini kwa watanzania
 
Silipwi na ccm ,naongea ukweli unaouma! Ni kwamba baada ya maandamano wao watalipana posho ! Mimi na wewe tutaendelea kupaluana hapa bila sababu
Na hiki ndicho kipimo cha akili, furaha ni sote tunugaike posho tupate sote, sasa uswagwe juani, for empty, amani wapo watu hawana akili.
 
Back
Top Bottom