inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Hebu weka ile aerial picture aliyopost tulia insta... Mimi siwezi natumia kitochiTunajua mumepewa Mshiko na Tulia Jimbo linayoyoma hilo Sugu anarejea✌️✌️✌️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu weka ile aerial picture aliyopost tulia insta... Mimi siwezi natumia kitochiTunajua mumepewa Mshiko na Tulia Jimbo linayoyoma hilo Sugu anarejea✌️✌️✌️
Kwa kuwa kuwaswaga ni rahisi, cdm, waone watawaswaga pande zipi tena...Au sio
Maandamano yalinoga mchana Tulia anawekq picha za asubuhi.Hebu weka ile aerial picture aliyopost tulia insta... Mimi siwezi natumia kitochi
Umeanza Uzi kwa kujihami, kuonesha you are really kylaza.Ukitaka soma, ukitaka acha lakini ukweli ni kwamba haya maandamano ya Freeman na washirika wake ni ya hovyo na sijawahi kushuhudia.
Wanaojua kwa nini wanaandamana ni freemani na washirika wake, lakini waandamanaji hawajui kitu chochote!
Hawajui kwa nini wanatembezwa kwenye jua Kali mchana kutwa, hawajui na nawaonea huruma kwakuwa hawajui.
Wakina Freeman wakimaliza maandano jioni ya Leo watakuwa hotelini wakila minofu ya kuku na kushushia john walker pamoja na k vant! Wenzangu na Mimi watakuwa Ituha, Isyesye, Ilemi na Ilolo wakitafuna numbu na kulala fofofo.
Wenzao yaani ile big 8 hawako pale kupoteza muda, wapo kazini na jioni posho inaenda kwa familia zao, nyinyi walala hoi mnaowasindikiza mpaka uwanjani wakabwabwaje Kisha wasema pipooz na nyinyi kwa njaa Kali mtaitikia poweeer.
Mnaonekana malofa! Watanzania tuamke, Tusiwe madaraja au mirija ya kuwaburudisha watu.
Kwa nini hatubadiliki? Wakienda ujerumani wakirudi hawasemi walichovuna kule! Chadema walipewa magari na pesa nyingi na wadau mbalimbali ,yakaishia kusikojulikana big 8 hawajawahi kusema popote.
Chadema hawana mpango wa kuwa watawala ila wanatumia siasa kama kazi na mtaji wao ni sisi manamba tunaovaa kombati na kuingia mabarabarani bila sababu! Tugutuke.
Silipwi na ccm ,naongea ukweli unaouma! Ni kwamba baada ya maandamano wao watalipana posho ! Mimi na wewe tutaendelea kupaluana hapa bila sababu
Wewe inakuhusu Nini, umekereka ndio mana POVU linakutoka, pumbav.Silipwi na ccm ,naongea ukweli unaouma! Ni kwamba baada ya maandamano wao watalipana posho ! Mimi na wewe tutaendelea kupaluana hapa bila sababu
Una elimu gani? Chama cha mapinduzi kimezoea kuongoza watu wajinga ndo mana wakiona makundi ya watu yanawahoji ndo wanaibuka nziUkitaka soma, ukitaka acha lakini ukweli ni kwamba haya maandamano ya Freeman na washirika wake ni ya hovyo na sijawahi kushuhudia.
Wanaojua kwa nini wanaandamana ni freemani na washirika wake, lakini waandamanaji hawajui kitu chochote!
Hawajui kwa nini wanatembezwa kwenye jua Kali mchana kutwa, hawajui na nawaonea huruma kwakuwa hawajui.
Wakina Freeman wakimaliza maandano jioni ya Leo watakuwa hotelini wakila minofu ya kuku na kushushia john walker pamoja na k vant! Wenzangu na Mimi watakuwa Ituha, Isyesye, Ilemi na Ilolo wakitafuna numbu na kulala fofofo.
Wenzao yaani ile big 8 hawako pale kupoteza muda, wapo kazini na jioni posho inaenda kwa familia zao, nyinyi walala hoi mnaowasindikiza mpaka uwanjani wakabwabwaje Kisha wasema pipooz na nyinyi kwa njaa Kali mtaitikia poweeer.
Mnaonekana malofa! Watanzania tuamke, Tusiwe madaraja au mirija ya kuwaburudisha watu.
Kwa nini hatubadiliki? Wakienda ujerumani wakirudi hawasemi walichovuna kule! Chadema walipewa magari na pesa nyingi na wadau mbalimbali ,yakaishia kusikojulikana big 8 hawajawahi kusema popote.
Chadema hawana mpango wa kuwa watawala ila wanatumia siasa kama kazi na mtaji wao ni sisi manamba tunaovaa kombati na kuingia mabarabarani bila sababu! Tugutuke.
Utakuwa mtu mjinga sana wewe zezeta la ccm.Ukitaka soma, ukitaka acha lakini ukweli ni kwamba haya maandamano ya Freeman na washirika wake ni ya hovyo na sijawahi kushuhudia.
Wanaojua kwa nini wanaandamana ni freemani na washirika wake, lakini waandamanaji hawajui kitu chochote!
Hawajui kwa nini wanatembezwa kwenye jua Kali mchana kutwa, hawajui na nawaonea huruma kwakuwa hawajui.
Wakina Freeman wakimaliza maandano jioni ya Leo watakuwa hotelini wakila minofu ya kuku na kushushia john walker pamoja na k vant! Wenzangu na Mimi watakuwa Ituha, Isyesye, Ilemi na Ilolo wakitafuna numbu na kulala fofofo.
Wenzao yaani ile big 8 hawako pale kupoteza muda, wapo kazini na jioni posho inaenda kwa familia zao, nyinyi walala hoi mnaowasindikiza mpaka uwanjani wakabwabwaje Kisha wasema pipooz na nyinyi kwa njaa Kali mtaitikia poweeer.
Mnaonekana malofa! Watanzania tuamke, Tusiwe madaraja au mirija ya kuwaburudisha watu.
Kwa nini hatubadiliki? Wakienda ujerumani wakirudi hawasemi walichovuna kule! Chadema walipewa magari na pesa nyingi na wadau mbalimbali ,yakaishia kusikojulikana big 8 hawajawahi kusema popote.
Chadema hawana mpango wa kuwa watawala ila wanatumia siasa kama kazi na mtaji wao ni sisi manamba tunaovaa kombati na kuingia mabarabarani bila sababu! Tugutuke.
Kumbe na wewe uliandamana...Sisi hata yakiwa ya hovyo tutaandamana tuuUkitaka soma, ukitaka acha lakini ukweli ni kwamba haya maandamano ya Freeman na washirika wake ni ya hovyo na sijawahi kushuhudia.
Wanaojua kwa nini wanaandamana ni freemani na washirika wake, lakini waandamanaji hawajui kitu chochote!
Hawajui kwa nini wanatembezwa kwenye jua Kali mchana kutwa, hawajui na nawaonea huruma kwakuwa hawajui.
Wakina Freeman wakimaliza maandano jioni ya Leo watakuwa hotelini wakila minofu ya kuku na kushushia john walker pamoja na k vant! Wenzangu na Mimi watakuwa Ituha, Isyesye, Ilemi na Ilolo wakitafuna numbu na kulala fofofo.
Wenzao yaani ile big 8 hawako pale kupoteza muda, wapo kazini na jioni posho inaenda kwa familia zao, nyinyi walala hoi mnaowasindikiza mpaka uwanjani wakabwabwaje Kisha wasema pipooz na nyinyi kwa njaa Kali mtaitikia poweeer.
Mnaonekana malofa! Watanzania tuamke, Tusiwe madaraja au mirija ya kuwaburudisha watu.
Kwa nini hatubadiliki? Wakienda ujerumani wakirudi hawasemi walichovuna kule! Chadema walipewa magari na pesa nyingi na wadau mbalimbali ,yakaishia kusikojulikana big 8 hawajawahi kusema popote.
Chadema hawana mpango wa kuwa watawala ila wanatumia siasa kama kazi na mtaji wao ni sisi manamba tunaovaa kombati na kuingia mabarabarani bila sababu! Tugutuke.
Acha wivu wewe umeanza lini uchawiSilipwi na ccm ,naongea ukweli unaouma! Ni kwamba baada ya maandamano wao watalipana posho ! Mimi na wewe tutaendelea kupaluana hapa bila sababu
Vibwengo wa CCM endeleeni tu kupiga punyeto gari limeshawaka hiloUkitaka soma, ukitaka acha lakini ukweli ni kwamba haya maandamano ya Freeman na washirika wake ni ya hovyo na sijawahi kushuhudia.
Wanaojua kwa nini wanaandamana ni freemani na washirika wake, lakini waandamanaji hawajui kitu chochote!
Hawajui kwa nini wanatembezwa kwenye jua Kali mchana kutwa, hawajui na nawaonea huruma kwakuwa hawajui.
Wakina Freeman wakimaliza maandano jioni ya Leo watakuwa hotelini wakila minofu ya kuku na kushushia john walker pamoja na k vant! Wenzangu na Mimi watakuwa Ituha, Isyesye, Ilemi na Ilolo wakitafuna numbu na kulala fofofo.
Wenzao yaani ile big 8 hawako pale kupoteza muda, wapo kazini na jioni posho inaenda kwa familia zao, nyinyi walala hoi mnaowasindikiza mpaka uwanjani wakabwabwaje Kisha wasema pipooz na nyinyi kwa njaa Kali mtaitikia poweeer.
Mnaonekana malofa! Watanzania tuamke, Tusiwe madaraja au mirija ya kuwaburudisha watu.
Kwa nini hatubadiliki? Wakienda ujerumani wakirudi hawasemi walichovuna kule! Chadema walipewa magari na pesa nyingi na wadau mbalimbali ,yakaishia kusikojulikana big 8 hawajawahi kusema popote.
Chadema hawana mpango wa kuwa watawala ila wanatumia siasa kama kazi na mtaji wao ni sisi manamba tunaovaa kombati na kuingia mabarabarani bila sababu! Tugutuke.
Ile siyo asubuhi,gari kibao mkuatanoni unasema asubuhi!!?..watu wamekaa chini,asubuhi gani!?Maandamano yalinoga mchana Tulia anawekq picha za asubuhi.
Ndugu ingia kwenye Media mbali mbali ujionee mwenyewe jinsi Watanzania wa Mbeya na Viunga vyake walivyopokea wito wa Maandamano.Ile siyo asubuhi,gari kibao mkuatanoni unasema asubuhi!!?..watu wamekaa chini,asubuhi gani!?
Sasa kinachokuuma wewe ni nini? Wachawi huanza hivi hiviSilipwi na ccm ,naongea ukweli unaouma! Ni kwamba baada ya maandamano wao watalipana posho ! Mimi na wewe tutaendelea kupaluana hapa bila sababu
Huwa unajianika kaubongo kako hadi huruma.Maandamano hayakuhusu,haukuitwa wala haukushiriki.Sasa unawashwa nini?Silipwi na ccm ,naongea ukweli unaouma! Ni kwamba baada ya maandamano wao watalipana posho ! Mimi na wewe tutaendelea kupaluana hapa bila sababu
CCM inatoa wapi hizo hela? Kama ni kodi zetu hebu tueleze kwa nini CAG anamulika wezi kwenye kila mradi wa umma na hakuna hatua zinazochukuliwa?Ccm haiwafaidishi wachache ! Maendeleo yanaonekana ! Hakuna Kijiji sasa ambacho hakina shule Wala zahanati, kupitia sisi watoto wetu wanasoma Bure! Kupitia ccm lami zinatandazwa Kila mahali na nyinyi mnapata na mahali pa kupita ili muandamane ! Ukiendelea kubisha mura jiandae kupata kerebu
Unapata tabu ukiwa wapiUkitaka soma, ukitaka acha lakini ukweli ni kwamba haya maandamano ya Freeman na washirika wake ni ya hovyo na sijawahi kushuhudia.
Wanaojua kwa nini wanaandamana ni freemani na washirika wake, lakini waandamanaji hawajui kitu chochote!
Hawajui kwa nini wanatembezwa kwenye jua Kali mchana kutwa, hawajui na nawaonea huruma kwakuwa hawajui.
Wakina Freeman wakimaliza maandano jioni ya Leo watakuwa hotelini wakila minofu ya kuku na kushushia john walker pamoja na k vant! Wenzangu na Mimi watakuwa Ituha, Isyesye, Ilemi na Ilolo wakitafuna numbu na kulala fofofo.
Wenzao yaani ile big 8 hawako pale kupoteza muda, wapo kazini na jioni posho inaenda kwa familia zao, nyinyi walala hoi mnaowasindikiza mpaka uwanjani wakabwabwaje Kisha wasema pipooz na nyinyi kwa njaa Kali mtaitikia poweeer.
Mnaonekana malofa! Watanzania tuamke, Tusiwe madaraja au mirija ya kuwaburudisha watu.
Kwa nini hatubadiliki? Wakienda ujerumani wakirudi hawasemi walichovuna kule! Chadema walipewa magari na pesa nyingi na wadau mbalimbali ,yakaishia kusikojulikana big 8 hawajawahi kusema popote.
Chadema hawana mpango wa kuwa watawala ila wanatumia siasa kama kazi na mtaji wao ni sisi manamba tunaovaa kombati na kuingia mabarabarani bila sababu! Tugutuke.
Unateseka ukiwa wapiYale ni mahangaiko mdororo sio maandamano 😀
Maandamano ya Watanzania wote ndio haya.
njaa kali unasema?🐒Unateseka ukiwa wapi