Haya ndiyo maandamano ya ovyo kuwahi kutokea katika nchi yetu. Hata wanaoandamana hawajui kwanini wanaandamana!

Haya ndiyo maandamano ya ovyo kuwahi kutokea katika nchi yetu. Hata wanaoandamana hawajui kwanini wanaandamana!

Ukitaka soma, ukitaka acha lakini ukweli ni kwamba haya maandamano ya Freeman na washirika wake ni ya hovyo na sijawahi kushuhudia.

Wanaojua kwa nini wanaandamana ni freemani na washirika wake, lakini waandamanaji hawajui kitu chochote!

Hawajui kwa nini wanatembezwa kwenye jua Kali mchana kutwa, hawajui na nawaonea huruma kwakuwa hawajui.

Wakina Freeman wakimaliza maandano jioni ya Leo watakuwa hotelini wakila minofu ya kuku na kushushia john walker pamoja na k vant! Wenzangu na Mimi watakuwa Ituha, Isyesye, Ilemi na Ilolo wakitafuna numbu na kulala fofofo.

Wenzao yaani ile big 8 hawako pale kupoteza muda, wapo kazini na jioni posho inaenda kwa familia zao, nyinyi walala hoi mnaowasindikiza mpaka uwanjani wakabwabwaje Kisha wasema pipooz na nyinyi kwa njaa Kali mtaitikia poweeer.

Mnaonekana malofa! Watanzania tuamke, Tusiwe madaraja au mirija ya kuwaburudisha watu.


Kwa nini hatubadiliki? Wakienda ujerumani wakirudi hawasemi walichovuna kule! Chadema walipewa magari na pesa nyingi na wadau mbalimbali ,yakaishia kusikojulikana big 8 hawajawahi kusema popote.

Chadema hawana mpango wa kuwa watawala ila wanatumia siasa kama kazi na mtaji wao ni sisi manamba tunaovaa kombati na kuingia mabarabarani bila sababu! Tugutuke.
Umeanza Uzi kwa kujihami, kuonesha you are really kylaza.
 
Silipwi na ccm ,naongea ukweli unaouma! Ni kwamba baada ya maandamano wao watalipana posho ! Mimi na wewe tutaendelea kupaluana hapa bila sababu

..Na Ccm nao wanajichana na ruzuku ya bil 1.3 kila mwezi huku wakiendelea kupuuza kero za wananchi.
 
Silipwi na ccm ,naongea ukweli unaouma! Ni kwamba baada ya maandamano wao watalipana posho ! Mimi na wewe tutaendelea kupaluana hapa bila sababu
Wewe inakuhusu Nini, umekereka ndio mana POVU linakutoka, pumbav.
 
Ukitaka soma, ukitaka acha lakini ukweli ni kwamba haya maandamano ya Freeman na washirika wake ni ya hovyo na sijawahi kushuhudia.

Wanaojua kwa nini wanaandamana ni freemani na washirika wake, lakini waandamanaji hawajui kitu chochote!

Hawajui kwa nini wanatembezwa kwenye jua Kali mchana kutwa, hawajui na nawaonea huruma kwakuwa hawajui.

Wakina Freeman wakimaliza maandano jioni ya Leo watakuwa hotelini wakila minofu ya kuku na kushushia john walker pamoja na k vant! Wenzangu na Mimi watakuwa Ituha, Isyesye, Ilemi na Ilolo wakitafuna numbu na kulala fofofo.

Wenzao yaani ile big 8 hawako pale kupoteza muda, wapo kazini na jioni posho inaenda kwa familia zao, nyinyi walala hoi mnaowasindikiza mpaka uwanjani wakabwabwaje Kisha wasema pipooz na nyinyi kwa njaa Kali mtaitikia poweeer.

Mnaonekana malofa! Watanzania tuamke, Tusiwe madaraja au mirija ya kuwaburudisha watu.


Kwa nini hatubadiliki? Wakienda ujerumani wakirudi hawasemi walichovuna kule! Chadema walipewa magari na pesa nyingi na wadau mbalimbali ,yakaishia kusikojulikana big 8 hawajawahi kusema popote.

Chadema hawana mpango wa kuwa watawala ila wanatumia siasa kama kazi na mtaji wao ni sisi manamba tunaovaa kombati na kuingia mabarabarani bila sababu! Tugutuke.
Una elimu gani? Chama cha mapinduzi kimezoea kuongoza watu wajinga ndo mana wakiona makundi ya watu yanawahoji ndo wanaibuka nzi
 
Ukitaka soma, ukitaka acha lakini ukweli ni kwamba haya maandamano ya Freeman na washirika wake ni ya hovyo na sijawahi kushuhudia.

Wanaojua kwa nini wanaandamana ni freemani na washirika wake, lakini waandamanaji hawajui kitu chochote!

Hawajui kwa nini wanatembezwa kwenye jua Kali mchana kutwa, hawajui na nawaonea huruma kwakuwa hawajui.

Wakina Freeman wakimaliza maandano jioni ya Leo watakuwa hotelini wakila minofu ya kuku na kushushia john walker pamoja na k vant! Wenzangu na Mimi watakuwa Ituha, Isyesye, Ilemi na Ilolo wakitafuna numbu na kulala fofofo.

Wenzao yaani ile big 8 hawako pale kupoteza muda, wapo kazini na jioni posho inaenda kwa familia zao, nyinyi walala hoi mnaowasindikiza mpaka uwanjani wakabwabwaje Kisha wasema pipooz na nyinyi kwa njaa Kali mtaitikia poweeer.

Mnaonekana malofa! Watanzania tuamke, Tusiwe madaraja au mirija ya kuwaburudisha watu.


Kwa nini hatubadiliki? Wakienda ujerumani wakirudi hawasemi walichovuna kule! Chadema walipewa magari na pesa nyingi na wadau mbalimbali ,yakaishia kusikojulikana big 8 hawajawahi kusema popote.

Chadema hawana mpango wa kuwa watawala ila wanatumia siasa kama kazi na mtaji wao ni sisi manamba tunaovaa kombati na kuingia mabarabarani bila sababu! Tugutuke.
Utakuwa mtu mjinga sana wewe zezeta la ccm.
 
Ukitaka soma, ukitaka acha lakini ukweli ni kwamba haya maandamano ya Freeman na washirika wake ni ya hovyo na sijawahi kushuhudia.

Wanaojua kwa nini wanaandamana ni freemani na washirika wake, lakini waandamanaji hawajui kitu chochote!

Hawajui kwa nini wanatembezwa kwenye jua Kali mchana kutwa, hawajui na nawaonea huruma kwakuwa hawajui.

Wakina Freeman wakimaliza maandano jioni ya Leo watakuwa hotelini wakila minofu ya kuku na kushushia john walker pamoja na k vant! Wenzangu na Mimi watakuwa Ituha, Isyesye, Ilemi na Ilolo wakitafuna numbu na kulala fofofo.

Wenzao yaani ile big 8 hawako pale kupoteza muda, wapo kazini na jioni posho inaenda kwa familia zao, nyinyi walala hoi mnaowasindikiza mpaka uwanjani wakabwabwaje Kisha wasema pipooz na nyinyi kwa njaa Kali mtaitikia poweeer.

Mnaonekana malofa! Watanzania tuamke, Tusiwe madaraja au mirija ya kuwaburudisha watu.


Kwa nini hatubadiliki? Wakienda ujerumani wakirudi hawasemi walichovuna kule! Chadema walipewa magari na pesa nyingi na wadau mbalimbali ,yakaishia kusikojulikana big 8 hawajawahi kusema popote.

Chadema hawana mpango wa kuwa watawala ila wanatumia siasa kama kazi na mtaji wao ni sisi manamba tunaovaa kombati na kuingia mabarabarani bila sababu! Tugutuke.
Kumbe na wewe uliandamana...Sisi hata yakiwa ya hovyo tutaandamana tuu
 
Ukitaka soma, ukitaka acha lakini ukweli ni kwamba haya maandamano ya Freeman na washirika wake ni ya hovyo na sijawahi kushuhudia.

Wanaojua kwa nini wanaandamana ni freemani na washirika wake, lakini waandamanaji hawajui kitu chochote!

Hawajui kwa nini wanatembezwa kwenye jua Kali mchana kutwa, hawajui na nawaonea huruma kwakuwa hawajui.

Wakina Freeman wakimaliza maandano jioni ya Leo watakuwa hotelini wakila minofu ya kuku na kushushia john walker pamoja na k vant! Wenzangu na Mimi watakuwa Ituha, Isyesye, Ilemi na Ilolo wakitafuna numbu na kulala fofofo.

Wenzao yaani ile big 8 hawako pale kupoteza muda, wapo kazini na jioni posho inaenda kwa familia zao, nyinyi walala hoi mnaowasindikiza mpaka uwanjani wakabwabwaje Kisha wasema pipooz na nyinyi kwa njaa Kali mtaitikia poweeer.

Mnaonekana malofa! Watanzania tuamke, Tusiwe madaraja au mirija ya kuwaburudisha watu.

Kwa nini hatubadiliki? Wakienda ujerumani wakirudi hawasemi walichovuna kule! Chadema walipewa magari na pesa nyingi na wadau mbalimbali ,yakaishia kusikojulikana big 8 hawajawahi kusema popote.

Chadema hawana mpango wa kuwa watawala ila wanatumia siasa kama kazi na mtaji wao ni sisi manamba tunaovaa kombati na kuingia mabarabarani bila sababu! Tugutuke.
Vibwengo wa CCM endeleeni tu kupiga punyeto gari limeshawaka hilo
 
Ile siyo asubuhi,gari kibao mkuatanoni unasema asubuhi!!?..watu wamekaa chini,asubuhi gani!?
Ndugu ingia kwenye Media mbali mbali ujionee mwenyewe jinsi Watanzania wa Mbeya na Viunga vyake walivyopokea wito wa Maandamano.
 
Silipwi na ccm ,naongea ukweli unaouma! Ni kwamba baada ya maandamano wao watalipana posho ! Mimi na wewe tutaendelea kupaluana hapa bila sababu
Huwa unajianika kaubongo kako hadi huruma.Maandamano hayakuhusu,haukuitwa wala haukushiriki.Sasa unawashwa nini?
 
Ccm haiwafaidishi wachache ! Maendeleo yanaonekana ! Hakuna Kijiji sasa ambacho hakina shule Wala zahanati, kupitia sisi watoto wetu wanasoma Bure! Kupitia ccm lami zinatandazwa Kila mahali na nyinyi mnapata na mahali pa kupita ili muandamane ! Ukiendelea kubisha mura jiandae kupata kerebu
CCM inatoa wapi hizo hela? Kama ni kodi zetu hebu tueleze kwa nini CAG anamulika wezi kwenye kila mradi wa umma na hakuna hatua zinazochukuliwa?

Naomba sasa utuambie ubora wa elimu inayotolewa na CCM kwa wanafunzi ktk hizo shule za kata na kwanini viongozi wa CCM hawwthubutu kupeleka watoto wao kwenye shule wanazojenga?

Swali kuntu. Kiongozi gani wa juu ws CCM anayetibiwa kwenye hizo zahanati za Kata?

Haya tueleze CCM imefanya nini kwenye ishu ya umeme na mfumuko wa bei?

Vp kuhusu rekodi ya Haki za Binadamu tuambie CCM imeimarishaje na uhuru wa maoni na faragha za mawasiliano?

Nasubiri jibu
 
Ukitaka soma, ukitaka acha lakini ukweli ni kwamba haya maandamano ya Freeman na washirika wake ni ya hovyo na sijawahi kushuhudia.

Wanaojua kwa nini wanaandamana ni freemani na washirika wake, lakini waandamanaji hawajui kitu chochote!

Hawajui kwa nini wanatembezwa kwenye jua Kali mchana kutwa, hawajui na nawaonea huruma kwakuwa hawajui.

Wakina Freeman wakimaliza maandano jioni ya Leo watakuwa hotelini wakila minofu ya kuku na kushushia john walker pamoja na k vant! Wenzangu na Mimi watakuwa Ituha, Isyesye, Ilemi na Ilolo wakitafuna numbu na kulala fofofo.

Wenzao yaani ile big 8 hawako pale kupoteza muda, wapo kazini na jioni posho inaenda kwa familia zao, nyinyi walala hoi mnaowasindikiza mpaka uwanjani wakabwabwaje Kisha wasema pipooz na nyinyi kwa njaa Kali mtaitikia poweeer.

Mnaonekana malofa! Watanzania tuamke, Tusiwe madaraja au mirija ya kuwaburudisha watu.

Kwa nini hatubadiliki? Wakienda ujerumani wakirudi hawasemi walichovuna kule! Chadema walipewa magari na pesa nyingi na wadau mbalimbali ,yakaishia kusikojulikana big 8 hawajawahi kusema popote.

Chadema hawana mpango wa kuwa watawala ila wanatumia siasa kama kazi na mtaji wao ni sisi manamba tunaovaa kombati na kuingia mabarabarani bila sababu! Tugutuke.
Unapata tabu ukiwa wapi
 
Back
Top Bottom