Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Manara ameghafilika [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Haji ni mpumbavu na hana akili. Hao wachezaji wa simba si anaonana nao almost kila siku. Kulikuwa na sababu ya kuandika ujumbe kwa wachezaji wa Simba na kuuandika kwenye social media ? Only in Tanzania.
Kabisa. Huyu guluguja anawaharibia. Na ni mpambe wa mo balaa. Ona lugha kama hizo,za kuwatoa kabisa wachezaji kwenye kiwango. Hapo manura hana chakeAussems alisema Kuna watu wasiokuwa na elimu na mpira hawafai kuwepo pale Simba .
Huyu jamaa ni mmoja wapo
Sijui wanamuogopa nini
Ana mdomo mchafu Sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh...! Angetembea na cd nchi nzima,media zote kuonyesha hiyo penati.Ile penati angepewa Yanga kusingekuwa na kiti hata kimoja pale kwa Mkapa! Na Haji saa hizi angekuwa FIFA! Ajabu iliyoko zigo la ubovu wa timu kaangushiwa Manula!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hofu ya Tajiri...tajiri kagoma kupokea simu za kinafki.Haji ni mpumbavu na hana akili. Hao wachezaji wa simba si anaonana nao almost kila siku. Kulikuwa na sababu ya kuandika ujumbe kwa wachezaji wa Simba na kuuandika kwenye social media ? Only in Tanzania.
Una haki ya kuamini unavyoamin, ila huna haki ya kunisemesha nisichokisema. Labda mara nyengine jaribu kuona tofauti ya kuhamasisha na kukejeli ndiyo utaweza kutoa hoja muwafaka na kauli yangu. Kadhalika jaribu kutofautisha baina ya kikosi kipana na kusajili wachezaji wengi. Kwa Taarifa yako, unaweza kuwa na watu 11 tu ndani ya timu na bado ukawa na kikosi kipana kwa kuwa na wachezaji wengi wanaoweza kucheza nafasi nyingi kwa ufasaha na hivyo kubadilisha mfumo bila ya kuingiza wachezaji wa akiba. Na unaweza kuwa na wachezaji 22 usiwe na kikosi kipana iwapo wachezaji hao wote ni wa nafsi hiyohiyo moja kwa kila wawili.Umeandika ujinga ujinga mbona?
Inamaana ni dhambi kuhamsisha timu yako na mashabiki kwa ajili ya mechi husika?
Simba ingeshinda inamaana bado ungekuja hapa na kusema ilikuwa haramu kwa haji kuhamasisha watu waende uwanjani kwa wingi kushangilia timu yao?
Inamaana katika SOKA la kisasa ambapo pesa inahusika ulitaka mchezaji aache kwenda pesa ilipo alafu iweje?
Na ulivyo juha.unasema eti yanga walitaka mchezaji Simba wakaingilia kati kumsajili,kwani hili ni jambo jipya duniani?
Eti kuwa na kikosi kipana nako kubaya? Umasikini wa yanga usitumike kuzifanya timu zingine zikashindwa kusajili,hukuwaona Madrid wa miaka ile ya Rinaldo? Ama timu kubwa duniani zinavyofanya?
Tafakari ulichoandika kisha sabinisha na uhalisia ndio utagundua kuwa umednaika ujinga
Itakuwa analinda Ugali wake.Maana sioni mantic ya kuandika ujumbe kwa wachezaji na kuuweka kwenye mitandao ya jamii huku wachezaji mpo nao ofisi moja.
Samahani basi, masahihisho: mahil, kamiri, rakin, ira, , .... na ipi nyengine?
Ile penati angepewa Yanga kusingekuwa na kiti hata kimoja pale kwa Mkapa! Na Haji saa hizi angekuwa FIFA! Ajabu iliyoko zigo la ubovu wa timu kaangushiwa Manula!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo wanaojiita wenye mpira Ts,halafu tunategemea maendeleoHaji ni mpumbavu na hana akili. Hao wachezaji wa simba si anaonana nao almost kila siku. Kulikuwa na sababu ya kuandika ujumbe kwa wachezaji wa Simba na kuuandika kwenye social media ? Only in Tanzania.