Umeandika ujinga ujinga mbona?
Inamaana ni dhambi kuhamsisha timu yako na mashabiki kwa ajili ya mechi husika?
Simba ingeshinda inamaana bado ungekuja hapa na kusema ilikuwa haramu kwa haji kuhamasisha watu waende uwanjani kwa wingi kushangilia timu yao?
Inamaana katika SOKA la kisasa ambapo pesa inahusika ulitaka mchezaji aache kwenda pesa ilipo alafu iweje?
Na ulivyo juha.unasema eti yanga walitaka mchezaji Simba wakaingilia kati kumsajili,kwani hili ni jambo jipya duniani?
Eti kuwa na kikosi kipana nako kubaya? Umasikini wa yanga usitumike kuzifanya timu zingine zikashindwa kusajili,hukuwaona Madrid wa miaka ile ya Rinaldo? Ama timu kubwa duniani zinavyofanya?
Tafakari ulichoandika kisha sabinisha na uhalisia ndio utagundua kuwa umednaika ujinga