Haya ndiyo mambo ya ajabu niliyowahi kuona na kushuhudia kwa macho yangu, sitoyasahau katika maisha yangu

Yale maji yanauzwagwa bei juu sana,, wateja wakubwa ni waganga,, sasa wamama wanapoenda kwa waganga kutafuta dawa ya kuwashika waume zao, hupewa hayo maji kwenye kichupa kidogo kama cha ppf ya sindano,
So mama anapewa maelezo ya kuchanganya kwa chakula cha mume, akila tu basi anakuwa kama kondoo, hafurukuti kama maiti mbele ya mkewe,, 🀷
 
Duh hatari sana kumbe tunalishwa vingi sana.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Haya mambo kama hayajawahi tokea kwako unaweza hisi ni story ila yamewatokea watu wangu wa karibu kabisa toka nitoke kiukweli niya kusikia tu.
 
Uchawi hauendi kwa muhuni leo nimeamin
Et mtu anakuta hela njiapanda anaogopa kupita nayo
 
Vp umetoboa au uliteseka bure
 
Hapo ungepiga ungemwaga ubongo
 
Inaonekana una mengi bro
Tungejifunza meng
Yeah Nina mengi lakini Mimi ni mvivu Sana WA kuandika kiujumla kama nikianza kuhadithia Kwa maandishi nahisi mwezi mzima mana nafulia narudi tena nakosea masharti naanguka lakini sichoki kuna siku nilishawahi kutana na mchungaji mmoja Sana maalufu kwa sasa miaka ya 2011 tukapelekwa makabulini tukaitiwa kiumbe kuingia nacho mikataba Acha utafutaji huu mtu akitumia pesa zake muache
 
Hapo umesahau had tokeo
 
πŸ˜‚πŸƒβ€β™€οΈ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…