Haya ndiyo mambo ya ajabu niliyowahi kuona na kushuhudia kwa macho yangu, sitoyasahau katika maisha yangu

Haya ndiyo mambo ya ajabu niliyowahi kuona na kushuhudia kwa macho yangu, sitoyasahau katika maisha yangu

Yes, hiyo ilikuwa ni miaka 15 iliyopita na mwaka 2018 alipata tatizo lingine linalofanana kama hilo

Hilo tatizo lilikuwa kama ni ukichaa, watu wakasema amelogwa, mume wake ikabidi ampeleke kwa kanisani aombewe.

Baadaye zikarudi taarifa mchungaji kapigwa na kiti cha plastic halafu kuna uharibifu aliufanya. Ikabidi uongozi wa kanisa umfunge kwenye chumba ambacho yuko pele yake.

Halafu mikono wakaifunga kwenye bomba la chuma, sisi tunaenda kumuona tunakuta ile kamba imemchuna mikono mpaka damu kwasababu alikuwa anahangaika kujitoa kwenye ile kamba.

Niliingiwa na hasira kwa jinsi nilivyomuona Sister ila nilijizuia ikabidi niombe kumchukua Sister kumpeleka hospitali.

Huko alikutwa na Malaria ya kichwa akapewa dripu za kutosha akaandikiwa na dawa

Ambapo mpaka saizi bado yupo kwenye dose ya hizo dawa
Recently???
Mimi pia naonaga watu wanaoangukaga mapepo kama vile sio wote ninmapepo
 
(1) sitosahau nilipokutana na mtu mrefu asiyekuwa na mwisho inasadikika ni jini

Hiyo statement hapo juu inaonyesha hata ulichoandika hukijui.
 
Kuna magonjwa yanawaattack watu very rarely sasa kutokujua huko(kukosa elimu) kunapelekea watu kudhani ni ushirikina kumbe sio.Miaka minne nyuma nilianza kusikia sauti za ajabu masikioni pia mlio wa kengele yani imagine kengele inalia masikioni mwako wawezo kuhisi umerogwa kumbe ni ugonjwa unaitwa tinnitus sasa magonjwa kama haya ni very rare kuyasikia lakini yapo.


Ndio mkuu ugonjwa huo tinnitus ulijitibia vipi??
 
(1) sitosahau nilipokutana na mtu mrefu asiyekuwa na mwisho inasadikika ni jini

Hiyo statement hapo juu inaonyesha hata ulichoandika hukijui.
NAKUONA KUU LA WACHAWI UNAPAMBANA KUDHOOFISHA MADA [emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
(1) sitosahau nilipokutana na mtu mrefu asiyekuwa na mwisho inasadikika ni jini

Hiyo statement hapo juu inaonyesha hata ulichoandika hukijui.
Nitathibitisha vipi Kama yeye ni jini wakati yeye hakujitambulisha Kama ni jini ndiyo maana nikasema inasadikika

Acha uzwazwa na ujuaji utafikiri ulikuwepo.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hivi kwanini ukiwa na hela huonagi mambo ya ajabu!!!. Au basi....sababu hili nalo ni jambo la ajabu.
 
Siku moja kuna watu wa Tanesco walikuwa wanapunguza miti iliyo karibu na nyaya zao za umeme walipofika kwenye nyumba moja wakati wanataka kuanza akatoka mama mmoja kwenye nyumba hiyo akawbia mbona mnakata miti yangu bila ridhaa yangu naomba muache wakawa wameacha wakati wanjishauri akaja mama mmoja nadhani ni mkubwa wao akawafokea mbona wamesimama tu wakasema wamekatazwa na mwenye nyumba wasikate akawatukana pale kisha akawaamrisha waikate wakawa wamefanikiwa kuikata wakapanda gari kuendelea na safari hatua chache tu gari ikapata ajari ikapinduka mara kadhaa akafa yule mama hapo hapo wengine walitoka wazima bila hata mchubuko.
Another:
Kuna siku moja nimejilaza gheto kwa rafiki yangu kwenye coach nikiwa bado mwanafunzi kwao na Huyo rafiki yangu kulikuwa na shule ya msingi private tulitumia madarasa yale kujisomea na kukutana wanafunzi wa shule mbali mbali za day advance hapo town,rafiki yetu alikuwa anaishi na mama yake, sikuwa nakawaida ya kulala chali huwa nalala ubavu au kifudifudi siku hiyo nimelala chalk kwenye lile coach nikaota yule mama was rafiki yetu ameniletea papai nikaanza kula knilipo kula mpaka nusu ndio nikagundua sio papai ni kitu kingine kabisa kinachifanana na boga japo kama kina uchungu uchungu yule mama akaanza kucheka nikawa kama najilazimisha kutapika nikiwa kwenye ndoto nimeshituka nimekaa pale kwenye kochi najilazimisha kutapika Sikh mbili mbele yule mama akatutengea nyama ya kuku, dagaa na ugali Luna rafiki yetu ambaye huwa ni mrafi hadi kwenye misiba alikuwa ugali na dagaa tu mimi nilikula na kuku pamoja na wajukuu wa yule mama baadae yule rafiki yangu aliniambia kuku yule alitumika kwa mazindiko.
Another:
Niliota Magufuli amekufa wiki kama moja kabla ya kwenda kanisani mara ya mwisho niliposhtuka moyo ukawa unauma kweli sinaga kawaida ya kuota ndoto yenye maana sawa sawa na nilichokiota nikasema haiwezi kuwa kweli hata tetesi za kifo chake zilipoanza niliona tu maneno wakati ule sikumbuki chochote kuhusu ile ndoto nimekuja kukumbuka asubuhi baada ya kile kifo kutangazwa.
Watu walijua siku tano kabla
 
Back
Top Bottom