Mashamba Makubwa Nalima
JF-Expert Member
- Mar 19, 2024
- 4,978
- 2,411
Alikuwa ameyanunua magazeti siku nyingi sana kwa kuwalipa pembeni pembeni, ikawa mtandao mtandao, mwisho akaamua kuyanunua kabisa,
Halafu recently, alianzisha mchezo gazeti likiwa na habari nzito za ukweli on ufisadi, anayanunua yote usiku, kwa hiyo kesho yake yanakuwa hayapo kwenye market, sasa naona ameona analiwa hela tu, kwa hiyo ameamua kujificha nyuma ya RAI what a shame!