kiukweli mi maswala ya birth day , valentine day ,huwa cyatili maanani sana , swala ya kupost au kupostiwa huwa cpost kitu chochote fb,hata kama niwe napga job flan au nime shine (maana wengi hufanya hvi), nina miaka mingi cjapost kitu fb zaidi ya comment, like, share swala la kupostiwa huwa cpendi off coz