if cap fits
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 1,461
- 2,062
Jisifuni kuchakata, siku mkichakatwa na nyie mje na uzi pia, akipandacho mtu ndicho akivunacho, nikikunasa na binti yangu wa shule mimi nakufumua marinda tu kesi inaisha, mambo ya polisi sitahitaji mana nyie vijana ni nguvu kazi ya Taifa. Nakusasambua kweli kweli,Kazaneni