TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Mmepata pa kupumzikia Maana, Trail za kumuhusisha Mwenyekiti kushirikiana na watu wasioeleweka kuondoa watafuta ukweli ndani ya Chama zilikuwa zinawelemea. Kabe kaingilia kati!Noma sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmepata pa kupumzikia Maana, Trail za kumuhusisha Mwenyekiti kushirikiana na watu wasioeleweka kuondoa watafuta ukweli ndani ya Chama zilikuwa zinawelemea. Kabe kaingilia kati!Noma sana!
Hii post imebarikiwa itabaki milele vizazi kwa vizazi!Mwisho wa siku, mmeivuruga nchi, mmeuza maliasili za watanganyika na sasa HAMNA mtakachowaambia waumini wa sera za Magu ambao ndio wengi na wasio wanufaika wa MIKOPO ya nchi iendayo chizimkazi kwa gharama za vizazi vyao.
Hakikisheni mnawachanganya kweli kweli ili mfanikiwe hiyo October 2025.
1. Magufuli
2. Lisu vs Mbowe
3. Mapambio
4. Chawa
Ndo sera zenu kuhakikisha MITANO TENA inafanikiwa sio?
Bila hivyo, mtaulizwa, mwamba alifanya, nyie mmeshindwa nini?
Umbea mtupu, huyu Kabendera inaeleweka kwanini anao mtazamo hasi kwa awamu ya JPM, baada ya mateso aliyokutana nayo asingeweza kuwa na msimamo usiolalia popote kuhusiana na urais mzima wa JPM.Erick Kabendera ndio habari ya mjini kwasasa!
Kwenye kitabu chake hiki kipya, licha ya kuzungumzia masuala ya mauaji ya Ben Saanane yaliyofanywa na Hayati Magufuli, pia amejadili mambo mengine yanayomuhusu Magufuli kama ifuatavyo;
👉🏽 Kuna tuhuma kwamba hayati alikuwa anawapa changamoto sana wanawake ndani ya chama, Kuna siku aliibuka nyumbani kwa Makamu wa Rais akiwa na nguo za kulalia, Makamu akamtishia kwamba angejiuzulu.
👉🏽 Central polisi shimoni, Wanawake na wanaume wana share lockup, mambo ya ajabu kabisa haya.
👉🏽 Alihojiwa kuhusu kifo cha mtoto wa Magufuli, ambacho kisababisha mgongano ndani ya ndoa ya Magufuli, TISS walikuwa wanataka hiyo issue isijulikane
👉🏽 Ernest Sungura (wa Media Council of Tanzania, kwa sasa) alihusika kwenye kikao na Dr Bashiru kumuhoji Kabendera, wakamwambia yuko Salama baadaye yakamkuta ya kumkuta, walikuwa wanajua nini kinaendelea.
Hayo ni machache juu ya mambo mazito aliyoyaandika Kabendera kwenye kitabu chake..
Usiwe chawa wa JPM mpaka ukapoteza uwezo wa kufikiria wewe kama wewe. Hakuna mradi aliouanzisha JPM ambao Samia hataumalizia, ahadi zote za 2025 zinamaliziwa na mengine mengi yanaendelea kufanyika muda huu.Mwisho wa siku, mmeivuruga nchi, mmeuza maliasili za watanganyika na sasa HAMNA mtakachowaambia waumini wa sera za Magu ambao ndio wengi na wasio wanufaika wa MIKOPO ya nchi iendayo chizimkazi kwa gharama za vizazi vyao.
Hakikisheni mnawachanganya kweli kweli ili mfanikiwe hiyo October 2025.
1. Magufuli
2. Lisu vs Mbowe
3. Mapambio
4. Chawa
Ndo sera zenu kuhakikisha MITANO TENA inafanikiwa sio?
Bila hivyo, mtaulizwa, mwamba alifanya, nyie mmeshindwa nini?
Aisee!!??Alihojiwa kuhusu kifo cha mtoto wa Magufuli, ambacho kisababisha mgongano ndani ya ndoa ya Magufuli, TISS walikuwa wanataka hiyo issue isijulikane🥺🥺🤔🙇🏿♂
Ya juu kabisa ni kweli jamaa alikuwa anapagawa sana na lile JICHO Lembuku!!! na alijaribu kutumia nguvu akagonga Mwamba.Erick Kabendera ndio habari ya mjini kwasasa!
Kwenye kitabu chake hiki kipya, licha ya kuzungumzia masuala ya mauaji ya Ben Saanane yaliyofanywa na Hayati Magufuli, pia amejadili mambo mengine yanayomuhusu Magufuli kama ifuatavyo;
👉🏽 Kuna tuhuma kwamba hayati alikuwa anawapa changamoto sana wanawake ndani ya chama, Kuna siku aliibuka nyumbani kwa Makamu wa Rais akiwa na nguo za kulalia, Makamu akamtishia kwamba angejiuzulu.
👉🏽 Central polisi shimoni, Wanawake na wanaume wana share lockup, mambo ya ajabu kabisa haya.
👉🏽 Alihojiwa kuhusu kifo cha mtoto wa Magufuli, ambacho kisababisha mgongano ndani ya ndoa ya Magufuli, TISS walikuwa wanataka hiyo issue isijulikane
👉🏽 Ernest Sungura (wa Media Council of Tanzania, kwa sasa) alihusika kwenye kikao na Dr Bashiru kumuhoji Kabendera, wakamwambia yuko Salama baadaye yakamkuta ya kumkuta, walikuwa wanajua nini kinaendelea.
Hayo ni machache juu ya mambo mazito aliyoyaandika Kabendera kwenye kitabu chake..
Hiyo picha si ndio hiyo ipo kwenye cover la kitabu cha Kabendera? Kama kumbukumbu zetu zipo sawa, nadhani hiyo picha ilipigwa siku ile ambayo aliyekua RC wa Dar bwana Makonda kutoa amri kwamba wamiliki wa silaha wote waende kukaguliwa I think pale central police, ndio hi picha ilipigwa baada ya No 1 kutii amri ya mwenye mkoa wakemagufuli alikua silent mafia.
kuna clip inaonekana anajaza bullet kwenye bastola anajaribu kuikoki anaipachika kiunoni anaisiliba na koti anacheka tu
Kwa hiyo unataka kutuambiaje? Hizi tuhuma nzito sana, ila ile ya Jokate kale kajamaa kakafukuzwa kazi mkutanoni kisa kumfuata fuata jokate- hahahaYa juu kabisa ni kweli jamaa alikuwa anapagawa sana na lile JICHO Lembuku!!! na alijaribu kutumia nguvu akagonga Mwamba.
Kisije kuwa na maneno yafuatayo:Hizi ni salamu kwa Samia Suluhu Hassan ajue naye anajiandikia kitabu cha kwake na tayari wino unaotumika ni mwekundu,kazi kwake. Hawa panya wake kina Lucas Mwashambwa hawataonekana tena wakati kikianza kusomwa na kujadiliwa.
Ya kuingilia ndoa ya watu hayamo?Erick Kabendera ndio habari ya mjini kwasasa!
Kwenye kitabu chake hiki kipya, licha ya kuzungumzia masuala ya mauaji ya Ben Saanane yaliyofanywa na Hayati Magufuli, pia amejadili mambo mengine yanayomuhusu Magufuli kama ifuatavyo;
👉🏽 Kuna tuhuma kwamba hayati alikuwa anawapa changamoto sana wanawake ndani ya chama, Kuna siku aliibuka nyumbani kwa Makamu wa Rais akiwa na nguo za kulalia, Makamu akamtishia kwamba angejiuzulu.
👉🏽 Central polisi shimoni, Wanawake na wanaume wana share lockup, mambo ya ajabu kabisa haya.
👉🏽 Alihojiwa kuhusu kifo cha mtoto wa Magufuli, ambacho kisababisha mgongano ndani ya ndoa ya Magufuli, TISS walikuwa wanataka hiyo issue isijulikane
👉🏽 Ernest Sungura (wa Media Council of Tanzania, kwa sasa) alihusika kwenye kikao na Dr Bashiru kumuhoji Kabendera, wakamwambia yuko Salama baadaye yakamkuta ya kumkuta, walikuwa wanajua nini kinaendelea.
Hayo ni machache juu ya mambo mazito aliyoyaandika Kabendera kwenye kitabu chake..
Kwann saa hii Kuna nn..!??Sasa urais unamsaidia nini huko aliko?.
Wacha tuchukue lessons tusije kuweka kichaa Ikulu tena
Kwa hiyo anataka kusema kwamba hayati JPM alitaka kumbaka SSH? Is this journalist really serious with his stupidity textbook sponsored by the haters?Erick Kabendera ndio habari ya mjini kwasasa!
Kwenye kitabu chake hiki kipya, licha ya kuzungumzia masuala ya mauaji ya Ben Saanane yaliyofanywa na Hayati Magufuli, pia amejadili mambo mengine yanayomuhusu Magufuli kama ifuatavyo;
👉🏽 Kuna tuhuma kwamba hayati alikuwa anawapa changamoto sana wanawake ndani ya chama, Kuna siku aliibuka nyumbani kwa Makamu wa Rais akiwa na nguo za kulalia, Makamu akamtishia kwamba angejiuzulu.
👉🏽 Central polisi shimoni, Wanawake na wanaume wana share lockup, mambo ya ajabu kabisa haya.
👉🏽 Alihojiwa kuhusu kifo cha mtoto wa Magufuli, ambacho kisababisha mgongano ndani ya ndoa ya Magufuli, TISS walikuwa wanataka hiyo issue isijulikane
👉🏽 Ernest Sungura (wa Media Council of Tanzania, kwa sasa) alihusika kwenye kikao na Dr Bashiru kumuhoji Kabendera, wakamwambia yuko Salama baadaye yakamkuta ya kumkuta, walikuwa wanajua nini kinaendelea.
Hayo ni machache juu ya mambo mazito aliyoyaandika Kabendera kwenye kitabu chake..
CCM wanaratibu Mambo mengi mno.
Kila kuelekea chaguzi mtapigwa na series nyingi.
Nchi Iko vizuri kuliko wakati wote.Sema una mawazo mgando,umemezwa na usukuma na mfumo dume.Leo mimi mtumishi nalipya stahili zangu kwa wakati kitu ambacho kwa magu sikulipwa,hapa nilipo kituo cha afya kimeanza kufanya kazi tangu mwaka jana.Kabla tulitibiwa katika hospital ya mission ambapo ukiumwa malaria ukalazwa kwa siku moja tu gharama zaidi ya laki na nusu.Saizi unatibiwa kwa elfu kumi tu.Hiki kituo kimejengwa katika awamu ya huyu huyu unayemsema nchi imemshinda!Tena vimejengwa vituo vya afya zaidi ya 200 nchi nzima katika awamu ya huyu unayedai nchi imemshinda.Huyo unayedai aliiweza nchi alifanya nini kikubwa zaidi hadi ubeze vitu vikubwa kuliko vya awamu zote vinavyoonekana katika awamu hii?Huyo magu alikuwa anatawala wapi hadi mimi nisione mazuri yake aliyoyafanya kumzidi huyu mama!!Magu alikuwa motivation speaker katika maendeleo,na watu wakapenda maneno kuliko vitendo.Ila tukiondoa chuki za kike;awamu zilizofanya maendeleo ya vitendo zaidi ni mbili tu,ya kikwete na hii ya mama.Lkn kwa kuwamotivate watanzania wajione wako vizuri kwakweli magu anaongoza.Mwisho wa siku, mmeivuruga nchi, mmeuza maliasili za watanganyika na sasa HAMNA mtakachowaambia waumini wa sera za Magu ambao ndio wengi na wasio wanufaika wa MIKOPO ya nchi iendayo chizimkazi kwa gharama za vizazi vyao.
Hakikisheni mnawachanganya kweli kweli ili mfanikiwe hiyo October 2025.
1. Magufuli
2. Lisu vs Mbowe
3. Mapambio
4. Chawa
Ndo sera zenu kuhakikisha MITANO TENA inafanikiwa sio?
Bila hivyo, mtaulizwa, mwamba alifanya, nyie mmeshindwa nini?
Fimbo ya mussa ilikuwa inatembea vibaya sana!!!Kwa hiyo unataka kutuambiaje? Hizi tuhuma nzito sana, ila ile ya Jokate kale kajamaa kakafukuzwa kazi mkutanoni kisa kumfuata fuata jokate- hahaha
Jiwe alikuwa na wivu wa balaaa.