Haya ni baadhi ya mambo mengine yaliyomo kwenye kitabu cha Erick Kabendera

Haya ni baadhi ya mambo mengine yaliyomo kwenye kitabu cha Erick Kabendera

Mshukuru sana hakuna upinzani imara, lakini kiukweli kabisa hizi sarakasi zenu dhidi ya kipenzi cha wananchi JPM, hasira zetu zingeiondoa CCM.

Wananchi wanataka kuona maendeleo sio blah blah na sababu nyingi, in 6yrs mwamba aliikimbiza hii nchi ikakimbia kila mahala.

Leo hii rushwa, wizi, kutowajibika vimetamalaki halafu mnakuja na hizi ngonjera.

Njia pekee ya kufuta legacy ya JPM ni kufanya zaidi yake, kuleta maendeleo zaidi na zaidi.
 
Kuna tuhuma kwamba hayati alikuwa anawapa changamoto sana wanawake ndani ya chama, Kuna siku aliibuka nyumbani kwa Makamu wa Rais akiwa na nguo za kulalia, Makamu akamtishia kwamba angejiuzulu.
Yaan J alim-mbato S si ndio? Anaweza kuthibitisha hilo kwamba J aliwahi kum-mbato Samia?
 
Akikujibu nitag mkuu.
Hicho kifo kilitokea marehemu akiwa Waziri wa Ujenzi, akiwa amehama nyumbani kwa zaidi ya siku 14, akiishi kwa kimada. Akagoma kugharamia matibabu ya mtoto wake, mama akaamua kumpeleka Mwananyamala kwa sababu hakuwa na pesa ya kumpeleka mwanae hospitali ambazo zingehitaji malipo. Mpaka mtoto anafariki, baba yupo kwa kimada. Hali hiyo ndiyo iliyomfanya mama kutokujihusisha na hayati wakati wote. Akagoma kuhudhuria hata sherehe ya uapisho wake. Akatumwa Salma kumbembeleza, akakataa; akatumwa Anna, akakataa; mwishoni akatumwa Maria akamkatalia. Maria akasimama, akachukua mkongoja, akapiga magoti kumbembeleza, ndipo aliponyanyuka mapema na kumbembeleza Maria asipige magoti kwake kwa sababu yeye ni mdogo sana, ndipo Maria akamwambia kuwa kama hataki ampigie magoti, aende kwenye sherehe ya uapisho, mama akakubali.
 
Magufulu ndiye alikuwa mtunza hiyo mahabusu?
Hili halina uhusiano wa moja kwa moja na Magufuli, wanaandika tu.
Za kuandikiwa/kuambiwa lazima tuchanganye na zetu.
Watu wana Uhuru na haki ya kusema na kuandika, lakini wasiingilie wa mwingine.
 
Wafuasi wa CDM hawajui kwamba chama chao ndio kilitumika kama bargaining chip ya ant-JPM awamu ya tano na sasa ndio njia rahisi ya kurahisisha ushindi wa CCM kwa kutengeneza mgogoro kupitia moles humo CDM akiwemo mwenyekiti Mbowe.
 
Hicho kifo kilitokea marehemu akiwa Waziri wa Ujenzi, akiwa amehama nyumbani kwa zaidi ya siku 14, akiishi kwa kimada. Akagoma kugharamia matibabu ya mtoto wake, mama akaamua kumpeleka Mwananyamala kwa sababu hakuwa na pesa ya kumpeleka mwanae hospitali ambazo zingehitaji malipo. Mpaka mtoto anafariki, baba yupo kwa kimada. Hali hiyo ndiyo iliyomfanya mama kutokujihusisha na hayati wakati wote. Akagoma kuhudhuria hata sherehe ya uapisho wake. Akatumwa Salma kumbembeleza, akakataa; akatumwa Anna, akakataa; mwishoni akatumwa Maria akamkatalia. Maria akasimama, akachukua mkongoja, akapiga magoti kumbembeleza, ndipo aliponyanyuka mapema na kumbembeleza Maria asipige magoti kwake kwa sababu yeye ni mdogo sana, ndipo Maria akamwambia kuwa kama hataki ampigie magoti, aende kwenye sherehe ya uapisho, mama akakubali.
Uongo mwingine bana,yani kweli mtoto wa waziri mwandamizi kabisa serikalini akose Bima ya afya?licha ya baba yake kuwa waziri lkn pia mama ake alikua mwalimu wa shule ya serikali angewezaje kukosa bima ya afya?
 
Mwisho wa siku, mmeivuruga nchi, mmeuza maliasili za watanganyika na sasa HAMNA mtakachowaambia waumini wa sera za Magu ambao ndio wengi na wasio wanufaika wa MIKOPO ya nchi iendayo chizimkazi kwa gharama za vizazi vyao.

Hakikisheni mnawachanganya kweli kweli ili mfanikiwe hiyo October 2025.

1. Magufuli
2. Lisu vs Mbowe
3. Mapambio
4. Chawa

Ndo sera zenu kuhakikisha MITANO TENA inafanikiwa sio?

Bila hivyo, mtaulizwa, mwamba alifanya, nyie mmeshindwa nini?

Kuna vitu vinafeli haraka. Hiki kitabu hakina impact yoyote kwenye namna watu wanavyomuona JPM.
Muda ushaamua
 
Erick Kabendera ndio habari ya mjini kwasasa!

Kwenye kitabu chake hiki kipya, licha ya kuzungumzia masuala ya mauaji ya Ben Saanane yaliyofanywa na Hayati Magufuli, pia amejadili mambo mengine yanayomuhusu Magufuli kama ifuatavyo;

👉🏽 Kuna tuhuma kwamba hayati alikuwa anawapa changamoto sana wanawake ndani ya chama, Kuna siku aliibuka nyumbani kwa Makamu wa Rais akiwa na nguo za kulalia, Makamu akamtishia kwamba angejiuzulu.

👉🏽 Central polisi shimoni, Wanawake na wanaume wana share lockup, mambo ya ajabu kabisa haya.

👉🏽 Alihojiwa kuhusu kifo cha mtoto wa Magufuli, ambacho kisababisha mgongano ndani ya ndoa ya Magufuli, TISS walikuwa wanataka hiyo issue isijulikane


👉🏽 Ernest Sungura (wa Media Council of Tanzania, kwa sasa) alihusika kwenye kikao na Dr Bashiru kumuhoji Kabendera, wakamwambia yuko Salama baadaye yakamkuta ya kumkuta, walikuwa wanajua nini kinaendelea.

Hayo ni machache juu ya mambo mazito aliyoyaandika Kabendera kwenye kitabu chake..
Dada wa Taifa Mange tafuta kitabu hiki na ukitafsiri utushushie humu bila kuacha takataka yoyote tafadhari.
 
Erick Kabendera ndio habari ya mjini kwasasa!

Kwenye kitabu chake hiki kipya, licha ya kuzungumzia masuala ya mauaji ya Ben Saanane yaliyofanywa na Hayati Magufuli, pia amejadili mambo mengine yanayomuhusu Magufuli kama ifuatavyo;

👉🏽 Kuna tuhuma kwamba hayati alikuwa anawapa changamoto sana wanawake ndani ya chama, Kuna siku aliibuka nyumbani kwa Makamu wa Rais akiwa na nguo za kulalia, Makamu akamtishia kwamba angejiuzulu.

👉🏽 Central polisi shimoni, Wanawake na wanaume wana share lockup, mambo ya ajabu kabisa haya.

👉🏽 Alihojiwa kuhusu kifo cha mtoto wa Magufuli, ambacho kisababisha mgongano ndani ya ndoa ya Magufuli, TISS walikuwa wanataka hiyo issue isijulikane


👉🏽 Ernest Sungura (wa Media Council of Tanzania, kwa sasa) alihusika kwenye kikao na Dr Bashiru kumuhoji Kabendera, wakamwambia yuko Salama baadaye yakamkuta ya kumkuta, walikuwa wanajua nini kinaendelea.

Hayo ni machache juu ya mambo mazito aliyoyaandika Kabendera kwenye kitabu chake..
Hatari sana
 

Attachments

  • Screenshot_20250104-111446~2.png
    Screenshot_20250104-111446~2.png
    59.2 KB · Views: 4
Jiwe alikuwa mhuni
Mungu aliamua kuokoa Taifa hili.
Nadhani Kwa Sasa tungekuwa kama North Korea
 
Ummm
Hicho kifo kilitokea marehemu akiwa Waziri wa Ujenzi, akiwa amehama nyumbani kwa zaidi ya siku 14, akiishi kwa kimada. Akagoma kugharamia matibabu ya mtoto wake, mama akaamua kumpeleka Mwananyamala kwa sababu hakuwa na pesa ya kumpeleka mwanae hospitali ambazo zingehitaji malipo. Mpaka mtoto anafariki, baba yupo kwa kimada. Hali hiyo ndiyo iliyomfanya mama kutokujihusisha na hayati wakati wote. Akagoma kuhudhuria hata sherehe ya uapisho wake. Akatumwa Salma kumbembeleza, akakataa; akatumwa Anna, akakataa; mwishoni akatumwa Maria akamkatalia. Maria akasimama, akachukua mkongoja, akapiga magoti kumbembeleza, ndipo aliponyanyuka mapema na kumbembeleza Maria asipige magoti kwake kwa sababu yeye ni mdogo sana, ndipo Maria akamwambia kuwa kama hataki ampigie magoti, aende kwenye sherehe ya uapisho, mama akakubali.
UMmh uongo huo....mbona kwenye kampeni zake alikuwepo...mwanza, chato hadi geita....muongo.
 
Erick Kabendera ndio habari ya mjini kwasasa!

Kwenye kitabu chake hiki kipya, licha ya kuzungumzia masuala ya mauaji ya Ben Saanane yaliyofanywa na Hayati Magufuli, pia amejadili mambo mengine yanayomuhusu Magufuli kama ifuatavyo;

👉🏽 Kuna tuhuma kwamba hayati alikuwa anawapa changamoto sana wanawake ndani ya chama, Kuna siku aliibuka nyumbani kwa Makamu wa Rais akiwa na nguo za kulalia, Makamu akamtishia kwamba angejiuzulu.

👉🏽 Central polisi shimoni, Wanawake na wanaume wana share lockup, mambo ya ajabu kabisa haya.

👉🏽 Alihojiwa kuhusu kifo cha mtoto wa Magufuli, ambacho kisababisha mgongano ndani ya ndoa ya Magufuli, TISS walikuwa wanataka hiyo issue isijulikane


👉🏽 Ernest Sungura (wa Media Council of Tanzania, kwa sasa) alihusika kwenye kikao na Dr Bashiru kumuhoji Kabendera, wakamwambia yuko Salama baadaye yakamkuta ya kumkuta, walikuwa wanajua nini kinaendelea.

Hayo ni machache juu ya mambo mazito aliyoyaandika Kabendera kwenye kitabu chake..
Huyu Kabendera yeye kafanya lipi la maana? Arudi kwao huko tunajua sio Mtanzania
 
Naona mnatumia nguvu kubwa kuzidi kumchafua Hayati Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli , lakini hata mkimchafua mkumbuke kila nafsi itaonja mauti mtakemstake.
Pumzika kwa amani Dkt John Pombe Magufuli rais wa awamu ya tano, watanzania wazalendo tutaendelea kukukumbuka kwa mema uliyoitendea nchi.
kabisa mkuu, wanamtumia kama ngazi kufanikiwa mambo yao, ila ipo siku yao na wao
 
Mshukuru sana hakuna upinzani imara, lakini kiukweli kabisa hizi sarakasi zenu dhidi ya kipenzi cha wananchi JPM, hasira zetu zingeiondoa CCM.

Wananchi wanataka kuona maendeleo sio blah blah na sababu nyingi, in 6yrs mwamba aliikimbiza hii nchi ikakimbia kila mahala.

Leo hii rushwa, wizi, kutowajibika vimetamalaki halafu mnakuja na hizi ngonjera.

Njia pekee ya kufuta legacy ya JPM ni kufanya zaidi yake, kuleta maendeleo zaidi na zaidi.
ukweli mchungu, wameshindwa kutuletea Maendeleo wanaanza kumchafua marehemu asiyeweza kujitetea, hii imeletwa makusudi kwa kutuona sisi wajinga
 
Back
Top Bottom