Nangu Nyau
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 5,015
- 14,139
Yaan J alim-mbato S si ndio? Anaweza kuthibitisha hilo kwamba J aliwahi kum-mbato Samia?Kuna tuhuma kwamba hayati alikuwa anawapa changamoto sana wanawake ndani ya chama, Kuna siku aliibuka nyumbani kwa Makamu wa Rais akiwa na nguo za kulalia, Makamu akamtishia kwamba angejiuzulu.
Hicho kifo kilitokea marehemu akiwa Waziri wa Ujenzi, akiwa amehama nyumbani kwa zaidi ya siku 14, akiishi kwa kimada. Akagoma kugharamia matibabu ya mtoto wake, mama akaamua kumpeleka Mwananyamala kwa sababu hakuwa na pesa ya kumpeleka mwanae hospitali ambazo zingehitaji malipo. Mpaka mtoto anafariki, baba yupo kwa kimada. Hali hiyo ndiyo iliyomfanya mama kutokujihusisha na hayati wakati wote. Akagoma kuhudhuria hata sherehe ya uapisho wake. Akatumwa Salma kumbembeleza, akakataa; akatumwa Anna, akakataa; mwishoni akatumwa Maria akamkatalia. Maria akasimama, akachukua mkongoja, akapiga magoti kumbembeleza, ndipo aliponyanyuka mapema na kumbembeleza Maria asipige magoti kwake kwa sababu yeye ni mdogo sana, ndipo Maria akamwambia kuwa kama hataki ampigie magoti, aende kwenye sherehe ya uapisho, mama akakubali.Akikujibu nitag mkuu.
Hili halina uhusiano wa moja kwa moja na Magufuli, wanaandika tu.Magufulu ndiye alikuwa mtunza hiyo mahabusu?
Mkuu haya sio maneno yangu, nime nukuu maneno ya Erick alipokuwa akihojiwa.2015 mbona hukuandika haya maneno,unayaandika Leo?
Uongo mwingine bana,yani kweli mtoto wa waziri mwandamizi kabisa serikalini akose Bima ya afya?licha ya baba yake kuwa waziri lkn pia mama ake alikua mwalimu wa shule ya serikali angewezaje kukosa bima ya afya?Hicho kifo kilitokea marehemu akiwa Waziri wa Ujenzi, akiwa amehama nyumbani kwa zaidi ya siku 14, akiishi kwa kimada. Akagoma kugharamia matibabu ya mtoto wake, mama akaamua kumpeleka Mwananyamala kwa sababu hakuwa na pesa ya kumpeleka mwanae hospitali ambazo zingehitaji malipo. Mpaka mtoto anafariki, baba yupo kwa kimada. Hali hiyo ndiyo iliyomfanya mama kutokujihusisha na hayati wakati wote. Akagoma kuhudhuria hata sherehe ya uapisho wake. Akatumwa Salma kumbembeleza, akakataa; akatumwa Anna, akakataa; mwishoni akatumwa Maria akamkatalia. Maria akasimama, akachukua mkongoja, akapiga magoti kumbembeleza, ndipo aliponyanyuka mapema na kumbembeleza Maria asipige magoti kwake kwa sababu yeye ni mdogo sana, ndipo Maria akamwambia kuwa kama hataki ampigie magoti, aende kwenye sherehe ya uapisho, mama akakubali.
Mwisho wa siku, mmeivuruga nchi, mmeuza maliasili za watanganyika na sasa HAMNA mtakachowaambia waumini wa sera za Magu ambao ndio wengi na wasio wanufaika wa MIKOPO ya nchi iendayo chizimkazi kwa gharama za vizazi vyao.
Hakikisheni mnawachanganya kweli kweli ili mfanikiwe hiyo October 2025.
1. Magufuli
2. Lisu vs Mbowe
3. Mapambio
4. Chawa
Ndo sera zenu kuhakikisha MITANO TENA inafanikiwa sio?
Bila hivyo, mtaulizwa, mwamba alifanya, nyie mmeshindwa nini?
Dada wa Taifa Mange tafuta kitabu hiki na ukitafsiri utushushie humu bila kuacha takataka yoyote tafadhari.Erick Kabendera ndio habari ya mjini kwasasa!
Kwenye kitabu chake hiki kipya, licha ya kuzungumzia masuala ya mauaji ya Ben Saanane yaliyofanywa na Hayati Magufuli, pia amejadili mambo mengine yanayomuhusu Magufuli kama ifuatavyo;
ππ½ Kuna tuhuma kwamba hayati alikuwa anawapa changamoto sana wanawake ndani ya chama, Kuna siku aliibuka nyumbani kwa Makamu wa Rais akiwa na nguo za kulalia, Makamu akamtishia kwamba angejiuzulu.
ππ½ Central polisi shimoni, Wanawake na wanaume wana share lockup, mambo ya ajabu kabisa haya.
ππ½ Alihojiwa kuhusu kifo cha mtoto wa Magufuli, ambacho kisababisha mgongano ndani ya ndoa ya Magufuli, TISS walikuwa wanataka hiyo issue isijulikane
ππ½ Ernest Sungura (wa Media Council of Tanzania, kwa sasa) alihusika kwenye kikao na Dr Bashiru kumuhoji Kabendera, wakamwambia yuko Salama baadaye yakamkuta ya kumkuta, walikuwa wanajua nini kinaendelea.
Hayo ni machache juu ya mambo mazito aliyoyaandika Kabendera kwenye kitabu chake..
Hatari sanaErick Kabendera ndio habari ya mjini kwasasa!
Kwenye kitabu chake hiki kipya, licha ya kuzungumzia masuala ya mauaji ya Ben Saanane yaliyofanywa na Hayati Magufuli, pia amejadili mambo mengine yanayomuhusu Magufuli kama ifuatavyo;
ππ½ Kuna tuhuma kwamba hayati alikuwa anawapa changamoto sana wanawake ndani ya chama, Kuna siku aliibuka nyumbani kwa Makamu wa Rais akiwa na nguo za kulalia, Makamu akamtishia kwamba angejiuzulu.
ππ½ Central polisi shimoni, Wanawake na wanaume wana share lockup, mambo ya ajabu kabisa haya.
ππ½ Alihojiwa kuhusu kifo cha mtoto wa Magufuli, ambacho kisababisha mgongano ndani ya ndoa ya Magufuli, TISS walikuwa wanataka hiyo issue isijulikane
ππ½ Ernest Sungura (wa Media Council of Tanzania, kwa sasa) alihusika kwenye kikao na Dr Bashiru kumuhoji Kabendera, wakamwambia yuko Salama baadaye yakamkuta ya kumkuta, walikuwa wanajua nini kinaendelea.
Hayo ni machache juu ya mambo mazito aliyoyaandika Kabendera kwenye kitabu chake..
UMmh uongo huo....mbona kwenye kampeni zake alikuwepo...mwanza, chato hadi geita....muongo.Hicho kifo kilitokea marehemu akiwa Waziri wa Ujenzi, akiwa amehama nyumbani kwa zaidi ya siku 14, akiishi kwa kimada. Akagoma kugharamia matibabu ya mtoto wake, mama akaamua kumpeleka Mwananyamala kwa sababu hakuwa na pesa ya kumpeleka mwanae hospitali ambazo zingehitaji malipo. Mpaka mtoto anafariki, baba yupo kwa kimada. Hali hiyo ndiyo iliyomfanya mama kutokujihusisha na hayati wakati wote. Akagoma kuhudhuria hata sherehe ya uapisho wake. Akatumwa Salma kumbembeleza, akakataa; akatumwa Anna, akakataa; mwishoni akatumwa Maria akamkatalia. Maria akasimama, akachukua mkongoja, akapiga magoti kumbembeleza, ndipo aliponyanyuka mapema na kumbembeleza Maria asipige magoti kwake kwa sababu yeye ni mdogo sana, ndipo Maria akamwambia kuwa kama hataki ampigie magoti, aende kwenye sherehe ya uapisho, mama akakubali.
Huyu Kabendera yeye kafanya lipi la maana? Arudi kwao huko tunajua sio MtanzaniaErick Kabendera ndio habari ya mjini kwasasa!
Kwenye kitabu chake hiki kipya, licha ya kuzungumzia masuala ya mauaji ya Ben Saanane yaliyofanywa na Hayati Magufuli, pia amejadili mambo mengine yanayomuhusu Magufuli kama ifuatavyo;
ππ½ Kuna tuhuma kwamba hayati alikuwa anawapa changamoto sana wanawake ndani ya chama, Kuna siku aliibuka nyumbani kwa Makamu wa Rais akiwa na nguo za kulalia, Makamu akamtishia kwamba angejiuzulu.
ππ½ Central polisi shimoni, Wanawake na wanaume wana share lockup, mambo ya ajabu kabisa haya.
ππ½ Alihojiwa kuhusu kifo cha mtoto wa Magufuli, ambacho kisababisha mgongano ndani ya ndoa ya Magufuli, TISS walikuwa wanataka hiyo issue isijulikane
ππ½ Ernest Sungura (wa Media Council of Tanzania, kwa sasa) alihusika kwenye kikao na Dr Bashiru kumuhoji Kabendera, wakamwambia yuko Salama baadaye yakamkuta ya kumkuta, walikuwa wanajua nini kinaendelea.
Hayo ni machache juu ya mambo mazito aliyoyaandika Kabendera kwenye kitabu chake..
kabisa mkuu, wanamtumia kama ngazi kufanikiwa mambo yao, ila ipo siku yao na waoNaona mnatumia nguvu kubwa kuzidi kumchafua Hayati Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli , lakini hata mkimchafua mkumbuke kila nafsi itaonja mauti mtakemstake.
Pumzika kwa amani Dkt John Pombe Magufuli rais wa awamu ya tano, watanzania wazalendo tutaendelea kukukumbuka kwa mema uliyoitendea nchi.
ukweli mchungu, wameshindwa kutuletea Maendeleo wanaanza kumchafua marehemu asiyeweza kujitetea, hii imeletwa makusudi kwa kutuona sisi wajingaMshukuru sana hakuna upinzani imara, lakini kiukweli kabisa hizi sarakasi zenu dhidi ya kipenzi cha wananchi JPM, hasira zetu zingeiondoa CCM.
Wananchi wanataka kuona maendeleo sio blah blah na sababu nyingi, in 6yrs mwamba aliikimbiza hii nchi ikakimbia kila mahala.
Leo hii rushwa, wizi, kutowajibika vimetamalaki halafu mnakuja na hizi ngonjera.
Njia pekee ya kufuta legacy ya JPM ni kufanya zaidi yake, kuleta maendeleo zaidi na zaidi.
Hizi ni story za kutunga tuUongo mwingine bana,yani kweli mtoto wa waziri mwandamizi kabisa serikalini akose Bima ya afya?licha ya baba yake kuwa waziri lkn pia mama ake alikua mwalimu wa shule ya serikali angewezaje kukosa bima ya afya?