Haya ni baadhi ya mambo mengine yaliyomo kwenye kitabu cha Erick Kabendera

Zanzibar and Zanzibar's kwanza, mengine baadae 2031
 
Nakukatalia. Hawezi kuwataja, reliable informers. Sio salama kwao. Mbowe sio serikali. Anaweza kuchafuliwa vyovyote.
 
Hatupaswi kumsema vibaya Magufuli ila chama kilicho mlea nakumpa nafasi sio hivyo tu katiba isiyo na meno nadhani JK alitaka tukumbuke wosia wake yakuwa atakuja mtu kwa katiba hii atawanyonyoa kwa moto. Je tunaendelea na hii katiba or we change?
 
Aisee!!!!!........da!!!!!! , kama TALEBAN!!
 
mimi nipo kazini mpaka muda huu,soma ujumbe uliandika,,,ulizungmzia umbali,haukuzungumzia pajama!!!"kuwa smart bro"
 
Uongo mwingine bana,yani kweli mtoto wa waziri mwandamizi kabisa serikalini akose Bima ya afya?licha ya baba yake kuwa waziri lkn pia mama ake alikua mwalimu wa shule ya serikali angewezaje kukosa bima ya afya?
Bima ya afya 2003?
 
Huyu binti alifia India sasa huko mwananyamala labda ya Mumbai.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…