DISGUISE16
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 372
- 260
Nilisafiri mimi mwenyewe 1991 na nilienda kuchukua visa ubalozini! Sikudandia maroli ya kabichi nduguNadhani Itakuwa ulikua ama miaka hiyo ulikua hujazaliwa au unanyonya, aka uku nyumba Tuu, waulize waliwahi kusafiri miaka hiyo tena ulitakiwa ufanye utafiti Kabla ya kuandika.