Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Huwa naona watu wanapongezwa, wanapongezana au hata kumshukuru Mungu kwa shukrani zote kwa:
1. Kupanda ndege
2. Kuonekana kwenye TV
3. Kufika nchi ya nje na Tanzania
4. Kupata likes au re-tweet ya mtu maarufu
5. Kupiga picha au kukutana na mtu mkubwa au maarufu.
Je, haya ni mafanikio yanayohitaji shamrashamra au shukrani kwa Mungu?
1. Kupanda ndege
2. Kuonekana kwenye TV
3. Kufika nchi ya nje na Tanzania
4. Kupata likes au re-tweet ya mtu maarufu
5. Kupiga picha au kukutana na mtu mkubwa au maarufu.
Je, haya ni mafanikio yanayohitaji shamrashamra au shukrani kwa Mungu?