Haya ni mafanikio yenye kuhitaji shamrashamra?

Haya ni mafanikio yenye kuhitaji shamrashamra?

Huwa naona watu wanapongezwa, wanapongezana au hata kumshukuru Mungu kwa shukrani zote kwa:

1. Kupanda ndege

2. Kuonekana kwenye TV

3. Kufika nchi ya nje na Tanzania

4. Kupata likes au re-tweet ya mtu maarufu

5. Kupiga picha au kukutana na mtu mkubwa au maarufu.

Je, haya ni mafanikio yanayohitaji shamrashamra au shukrani kwa Mungu?
Kwanza kabisa, huyo Mungu mwenyewe hayupo.
 
Yupo kwa baadhi ya watu na hayupo kwa baadhi ya watu.
Hapana, haiwezekani awepo kwa baadhi ya watu na asiwepo kwa baadhi ya watu.

Labda kama unamaanisha kuna watu wanafikiri yupo na wengine wanafikiri hayupo.

Which is a different matter.
 
Back
Top Bottom