Haya ni mafanikio yenye kuhitaji shamrashamra?

Kwanza kabisa, huyo Mungu mwenyewe hayupo.
 
Yupo kwa baadhi ya watu na hayupo kwa baadhi ya watu.
Hapana, haiwezekani awepo kwa baadhi ya watu na asiwepo kwa baadhi ya watu.

Labda kama unamaanisha kuna watu wanafikiri yupo na wengine wanafikiri hayupo.

Which is a different matter.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…