Haya ni makosa watu huyafanya na kuwagharimu kwenye ngumi za Mtaani (Street Fights)

Sisi wapiganaji WA mtaani tunajua jinsi Field kulivyo. Hasa kupigana Club au bar. Huko sio poawa.

Kwa kuongeza;

1. Macho yako yawe beneti na macho ya hasimu wako.

2. Unapokwepa Ngumi au teke Hakikisha bado macho yako yanamwona adui yako. Yaani kama umekwepa kwa kuinama chini inama lakini macho yako yakiwa yanamtazama adui.

3. Timing ndio kitu muhimu, mashambulizi ya kushtukiza ni mbinu ambayo inakuwa na Majibu chanya.
Ukishaona hapa kupigana hakuepukiki ni muhimu kumshambulia adui kwa kushtukiza hasa lile shambulizi la Kwanza ukiwa bado Lina nguvu.

4. Hakikisha miguu haiwi katika uwiano Sawa Bali ipishane.

5. Hakikisha haumalizi nguvu za kukimbia ukiona mambo yanakuwia magumu.
Usisubiri kuzidiwa.
Adui anayejua mapambano unamjua sekunde thelasini za mwanzo. Usisubiri zaidi
 
😁😁Wahuni badala waamulie wanaunda uwanja😁

Tumefanya sana hizi enzi hizo utotoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…