Jafari Haruna
JF-Expert Member
- Jun 18, 2017
- 347
- 961
Asante sana MkuuHivi huyo magufuli takwimu gani zinambeba?
Hali ya kiuchumi Kwa wananchi ikoje? Kwa wakulima wa mbaaazi, korosho, tumbaku takwimu zikoje?
Suala la ajira kwa vijana kafanya nini? Ameua uwekezaji na sekta binafsi kaishia kufanya maelfu ya vijana kuwa jobless na watu kupoteza ajira
Ameua watu, kubambikia watu makesi, kuonea watu mpaka hata watoto wadigo wanajua
Ameharibu biashara kupelekea watu kufunga biashara zao na wengine kufirisiwa na mabenki?
Huyo magufuli kafanya ya nini zaidi ya haya? Njia ni nyeupe sana kwa Tundu Lissu mwaka huu.
Takwimu za kuteka na kubambikia watu kesi Mkuu.Eti takwimu zinambeba sijui ni takwimu zipi zinazombeba?
Inakuwaje mtu ambaye takwimu zinambeba aiogope Tume Huru? Pia aogope kura kuhesabiwa hadharani na kwa UWAZI? π³
Wamemshambulia au wamepinga hoja zake kwa hoja?Kama kawaida wamekushambulia
Takwimu za kuteka na kubambikia watu kesi Mkuu.
MTAZAMO Kwanza ongera kwa kupost Uzi Mara nyingi wewe sio mtu wa kupost.Ningependa jamiiforum iwe na watu kama wewe wanaoleta facts na unadeserve kuitwa great thinker umeleta hoja nzuri Cha ajabu mashabiki uchwara a.k.a small mind badala la kujibu hoja yako kwa hoja wao watajikita kukutukana zaidiWakuu,
Haya ni mambo 10 niliyoona mpaka sasa kuelekea kipute cha kampeni rasmi.
1) What a match!, Mpaka sasa CCM inabebwa na watu wenye experience ambao kipindi kama hiki ndio unajua uwezo wao. Wao kelele nyingi ziko kwenye mipango (strategies) kuliko kelele na matamko ya majukwaani.
2) Tundu Lissu is impressive as usual lakini seems Chadema hawakumuandaa, experience yake ya uanaharakati ndio unaofanya aonekane active uwanjani lakini bado hajawa na madhara kihoja ingawa bado mapema. Mambo ya kusema atamshtaki JPM kwa rushwa ya kununua jogoo laki moja ni uanaharakati si level zake tena kama mgombea Urais.
3) John Pombe Magufuli yuko composed sababu ya records zake awamu hii ya kwanza. Lakini pia kwasasa nguvu kubwa ipo kwenye kupanga vyema mabeki majimboni na udiwani.Hapo ndio unapoona timu kubwa na yenye watu wazoefu inavyohandle mchezo. Ni kama wameamua kuacha wapinzani wacheze huku wao wakikamilisha ramani ya ushindi.
4) Kimbinu Chadema wanahitaji timu bora kumzunguka Lissu wakiwemo waandamizi wa serikali zilizopita akiwemo Nyarandu ili kumshape Lissu kama mgombea Urais lakini pia mipango ya kusaidia kampeni majimboni ambako hali si nzuri
5) Kimbinu CCM wana kazi kubwa ya kumaliza mchakato wa wagombea ubunge na udiwani bila mpasuko lakini maeneo mengi kimbinu wamejipanga kushinda.
6) JPM takwimu zinambeba na wananchi wanajua matokeo yake wakimchagua tofauti na Lissu ambaye anapaswa kujikita kwenye hoja zenye matarajio ya wananchi hasa wanyonge walio wengi. Je ataweza kuaminisha wananchi ili wamchague?
7) Financially CCM wako stable kuhandle kampeni kuliko Chadema ambayo imepanga pia kusimamisha wagombea majimbo yote.
8) JPM amefanikiwa kuhakikisha watendaji wake wote wanajua takwimu za mambo yaliyofanyika awamu hii hivyo itabidi kila hoja za Lissu zinazogusa takwimu ajipange otherwise akikosea atapingwa hata na makatibu tarafa. Hizo takwimu zimeimbwa muda mrefu na hata wananchi wengi wamezikariri.
9) Angalizo, Lissu usihangaike na wimbo wa katiba mpya hauna mashiko kwa wananchi wanyonge na hautampa kura. JPM pia awekeze hoja kwenye mipango mipya hasa mapinduzi kwenye kilimo na uwekezaji.
10) Wapinzani bila kusimamisha mgombea mmoja huu utakuwa uchaguzi mgumu hadi majimboni kuliko wakati wowote.
Mizania pima mwenyewe, hayo ni maoni yangu binafsi [emoji41]
Nikimwangalia mleta mada alikokuwa na aliko namuonea huruma!Eti takwimu zinambeba sijui ni takwimu zipi zinazombeba?
Inakuwaje mtu ambaye takwimu zinambeba aiogope Tume Huru? Pia aogope kura kuhesabiwa hadharani na kwa UWAZI? [emoji15]
Nikafikiri ni Lowassa tu aliwakera kumbe hata Lissu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Swadakta
Great thinker kwa uzi huu?????πππππMTAZAMO Kwanza ongera kwa kupost Uzi Mara nyingi wewe sio mtu wa kupost.Ningependa jamiiforum iwe na watu kama wewe wanaoleta facts na unadeserve kuitwa great thinker umeleta hoja nzuri Cha ajabu mashabiki uchwara a.k.a small mind badala la kujibu hoja yako kwa hoja wao watajikita kukutukana zaidi
Ndiyo umefikia hapa! Unajitoa ufahamu na kujidhalilisha namna hii? CCM wana mbinu gani zaidi ya mbinu ya ''dola''? Hebu tuwe fair: CCM bila nguvu ya dola itapata shida kubwa sana kushinda uchaguzi.Swadakta
Nikimwangalia mleta mada alikokuwa na aliko namuonea huruma!
Great thinker kwa uzi huu?????πππππ
Kweli Lumumba mnatia huruma aisee
Mbona mzee unapenda ushabiki kwenye mambo ambayo hayaitaji ushabiki wapi niliwahi kusema me Ni mwanachama wa CCM? au wapi nimeonesha me Ni mwanachama wa CCMGreat thinker kwa uzi huu?????πππππ
Kweli Lumumba mnatia huruma aisee
Mkuu kumbe huyu jamaa ''unamnyaka'' vizuri kama mimi! Huyu ni Chadema wa zamani aliyejeruhiwa na maamuzi ya Lowassa kujiunga mwaka 2015. Alisubiri wee Chadema ife lakini ameona baada ya Lissu kurudi na kila mtu amekuwa kama amepewa uhai mpya hivyo roho inamuuma.Nikafikiri ni Lowassa tu aliwakera kumbe hata Lissu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndo mngeaminiwa nyie kweli? Papuchi isingeleta rabsha katikati ya mapambano?
Tunatazama matendo yako juu na maneno yako tunajua rangi yakoMbona mzee unapenda ushabiki kwenye mambo ambayo hayaitaji ushabiki wapi niliwahi kusema me Ni mwanachama wa CCM? au wapi nimeonesha me Ni mwanachama wa CCM