Uchaguzi 2020 Haya ni mambo 10 niliyoona kwa CCM Vs CHADEMA mpaka sasa kuelekea kipute cha kampeni rasmi

Wanadanganywa na JF FB
Kama 2015
Hahaha mambo Ni Rahisi sana Ka Jpm
Tena hao hata wakiungana wakipata 20% Washerehekee
 
Asante sana Mkuu
 
Records,records
Records nzuri au mbaya,kitu gani kipya ambacho kabisa maraisi waliotangulia hawakukifanya yeye kafanya Tena chenye manufaa?
Mtu anatukana watu hovyo,Hakuna utawala wa sheria ,hafuati sheria Wala katiba Unawezaje kumsifu Kama wewe sio mhalifu?

Dk Slaa alijinasibu kuwa Ni mpenda utawala wa sheria,je huyu anaongoza kwa kufuata sheria?
Jipange ndugu acha kuleta mada za chuki.
Unaukumbuka uchaguzi wa serikali za mitaa? Wewe ndio unaona sawa hivyo?
 
MTAZAMO Kwanza ongera kwa kupost Uzi Mara nyingi wewe sio mtu wa kupost.Ningependa jamiiforum iwe na watu kama wewe wanaoleta facts na unadeserve kuitwa great thinker umeleta hoja nzuri Cha ajabu mashabiki uchwara a.k.a small mind badala la kujibu hoja yako kwa hoja wao watajikita kukutukana zaidi
 
Nikafikiri ni Lowassa tu aliwakera kumbe hata Lissu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ndo mngeaminiwa nyie kweli? Papuchi isingeleta rabsha katikati ya mapambano?
 
Great thinker kwa uzi huu?????πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Kweli Lumumba mnatia huruma aisee
 
Ndiyo umefikia hapa! Unajitoa ufahamu na kujidhalilisha namna hii? CCM wana mbinu gani zaidi ya mbinu ya ''dola''? Hebu tuwe fair: CCM bila nguvu ya dola itapata shida kubwa sana kushinda uchaguzi.
 
Nikafikiri ni Lowassa tu aliwakera kumbe hata Lissu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ndo mngeaminiwa nyie kweli? Papuchi isingeleta rabsha katikati ya mapambano?
Mkuu kumbe huyu jamaa ''unamnyaka'' vizuri kama mimi! Huyu ni Chadema wa zamani aliyejeruhiwa na maamuzi ya Lowassa kujiunga mwaka 2015. Alisubiri wee Chadema ife lakini ameona baada ya Lissu kurudi na kila mtu amekuwa kama amepewa uhai mpya hivyo roho inamuuma.
 
Hiyo issue ya jogoo nimeona jamaa yenu anaropoka pasi kujua hata anachoongea na sidhani kama huo ndo uanaharakati bali uzwazwa tu.

Hata uki-search "kuchi" humu jamvini utakutana na bei za hadi 500,000 kwa jogoo mmoja.

Hizo siasa za ulaghai wa kitoto hivyo zimepitwa wakati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…