Haya ni mapenzi au huruma?

Haya ni mapenzi au huruma?

natu
Personally I do think unampenda. The only reason you are conficted is you never imagined yourself na mtu kama yeye. Ila kwa kuwa now your feelings have seen beyond his physical imperfections you are second guessing yourself , thinking watu watasemaje!?
 
lolz! sasa avatar yangu inatia huruma kiasi hicho mpaka umenihurumia! mi nimekufurahia tu maana join date ziko sawa so we are simply twins
OMG!una macho mazuri ndo mana naona huruma,kweli nimeona twins,sijui kurwa atakuwa nani
 
Aisee mkipata watoto msiache kutuwekea hapa jamvini family potrait yenu tuone product mtakazotoa.. Mapenzi kizunguzungu wajameni angalia tu usiangukie kunako siko..
 
siku moja nimekaa nyumban tunaongea na mke wangu....mara akaniambi hivi....''unajua kuna kitu huwa nikiiangalia kwako huwa nafurahi na ndicho kilinisukuma nikupende'' nikamuuliza kitu gani''akaijibu ni hivyo vi dimples vyako yaani navipenda kweli na ndio maana nikafunga ndoa na wewe nashukuru na mwanangu blanca amerith''....nilishangaa kweli

sasa huenda na wewe hilo jjicho la jamaa ndo kivutio lakini pia hiyo isiwe sababu saaana ya kutokumkubalia kaka wa watu.....
 
sasa kama unanionea huruma inabidi usubiri watu watakonkludi nini kwa hii sred ili upate pa kuanzia,nahs kurwa ni mimi..lol
sitaki wakusumbue pacha wangu,nitakuwa mlinzi wako humu.
 
Umenitamanisha michembe na chai ya maziwa

Aisee mkipata watoto msiache kutuwekea hapa jamvini family potrait yenu tuone product mtakazotoa.. Mapenzi kizunguzungu wajameni angalia tu usiangukie kunako siko..
 
Hodi humu ndani
mie sio mwenyeji sana, ni mgeni kiasi
Nimekuja na shida yangu tafadhali naomba msaada wenu
Mie ni dada wa makamo, niko nje ya nchi kwa masomo.Tangu nifike hapa nimekuwa mtu wa kujiepusha sana na mambo ya mapenzi na kujitahidi kujikita zaidi kwenye masomo nisije nikakosa degree yangu na kurudi bongo kwa aibu au nikaamua kubaki huku kwa kukwepa aibu ya kushindwa.Namshukuru Mungu nimeweza kuruka viunzi vingi vya mapenzi.Well, tatizo limekuja siku za karibuni kukutana na kaka mmoja anayetokea moja ya nchi zilizo kusini mwa Afrika.mwanzoni alipoanza kunifuatilia kimapenzi nilisikia kichekesho kwa sababu kaka huyu macho kumchuzi,(makengeza) kwa hiyo nilikuwa nasikia kucheka kila mara anaposisitizia azma yake ya kuwa na mie.Cha ajabu jinsi siku zinavyokwenda naanza kumwonea huruma(sina hakika kama ni huruma au ni mapenzi)natamani kumwona mara kwa mara. asiponitakia goodnite najisikia vibaya.Akikaa siku nzima bila kunipigia nasononeka. In short mie nisipoona yale macho basi hujisikia vibaya mwenzenu na kila nikimuona kamoyom kangu kananidunda lakini najipa moyo kwamba ninachojihisi ni huruma sio mapenzi.sasa wadau ninawezaje kujua hasa nini kilicho moyoni mwangu.Weekend hii kaniofa twende movie lakini nasita mana sina uhakika na feelings zangu mwenyewe.ushauri tafadhali kabla sijachemka dada yenu.
Use your logic 1st then emotions!Belivdat!
 
sawa pacha asante kwa kunijali na kujitolea kunilinda! pia nitakuwa nawaambia usinikonyeze by Huggy Bear....
hapo ndo udhaifu wangu unaanzia nikikonyezwa,tena wasikukonyeze kabisa,mana nimeshakukonyeza
 
Sory waungwana nimeingia jamvn bla kupga hodi!!
Natu dia,
inawezkana upo mpweke huko ndo maana ucpopgiwa cm au kumuona unajhc vbaya kwakuwa ndo m2 aliyekuzoesha kukufanyia hvyo na ndo anakuondolea upweke ulionao,km ndivyo kweli unachohc c mapenz ni huruma 2 kwa jamaa na nafc yako pweke.
knyume cha hapo inaweza ikawa mapenzi jpe mda wakujtambua,manake mara nyng kupenda hakuna kanuni weng 2nachanganya mapenz na huruma.
 
jf is never boring...lol

member wapya lakini mnaijua mitaa yote ya jf?
 
Back
Top Bottom