Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Mwezi huu maada ya mchakato wa mwaka mzima Kenya imeitangaza rasmi Eldoret kuwa jiji la 5 katika nchi hiyo, hata hivyo Wakenya wengi wamedhihaki na kukebehi uamuzi huo wakiita Eldoret kuwa bado ni kijiji tu!
Hawa majirani zetu tuwaambie ukweli au tuwaache tu?
Hawa majirani zetu tuwaambie ukweli au tuwaache tu?