Haya ni maringo ya Wakenya au ni kujiwekea standard juu dhidi ya majirani?

Haya ni maringo ya Wakenya au ni kujiwekea standard juu dhidi ya majirani?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Mwezi huu maada ya mchakato wa mwaka mzima Kenya imeitangaza rasmi Eldoret kuwa jiji la 5 katika nchi hiyo, hata hivyo Wakenya wengi wamedhihaki na kukebehi uamuzi huo wakiita Eldoret kuwa bado ni kijiji tu!
Hawa majirani zetu tuwaambie ukweli au tuwaache tu?

20240817_061918.jpg
20240817_061830.jpg
20240817_061524.jpg
20240817_061413.jpg
20240817_061152.jpg
20240817_061251.jpg
 
Mwezi huu maada ya mchakato wa mwaka mzima Kenya imeitangaza rasmi kaunti ya Eldoret kuwa jiji la 5 katika nchi hiyo, hata hivyo Wakenya wengi wamedhihaki na kukebehi uamuzi huo wakiita Eldoret kuwa bado ni kijiji tu!
Hawa majirani zetu tuwaambie ukweli au tuwaache tu?

View attachment 3072182View attachment 3072183View attachment 3072184View attachment 3072185View attachment 3072186View attachment 3072187
Hii na Iringa bora Iringa. Haistahili kuwa jiji labda kama wana vigezo vyao vingine ila muonekano wa mji ni chini ya kiwango.
 
Back
Top Bottom