Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dodoma ina nini cha ajabu?Dodoma umewahi kufika au unaandika kwa mkumbo tu!? Zungumzia Mbeya na Tanga
Akili zake hazina akiliIla aliyeipa Mbeya hadhi ya jiji sijui alitumia vigezo gani, bora hata Mwanza kidogo
darautobroker.wordpress.com
Majiji Sita au Vijiji 6 vikubwa zaidi???Sisi tuna majiji 6
Kama mbeya ni jiji basi eldoret ilipaswa kuwa jiji mapema zaidi
Tanzania Jiji ni Dar na Mwanza tu kwa vigezo vyote
Labda vingejadiliwa vigezo ambavyo hutumika kutangaza eneo kuwa ni Jiji na kama vigezo hivyo kila nchi ina standard yake au ni universal.Kama Tanga na Mbeya ni majiji
Kweli kabisa kwa mfano UK wao kuwa jiji zamani ni lazima iwe na CathedralItakuwa kila nchi ina vigezo vyake, ndio maana Dodoma au Mbeya hayawezi kuwa majiji Kenya.
Kwa kuzingatia vigezo vya kimataifa vya Uanishaji wa Miji kuwa Jiji, Dsm na Mwanza vimekosa kabisa sifa za kuweza kuwa Jiji, hata kwa kuzingatia kigezo kimoja tu Kupangilika kwa Mji na Miundombinu yake (Town Planning and Infrastructures Planing and its Quality).Tanzania Jiji ni Dar na Mwanza tu kwa vigezo vyote
Wacha wee! Hebu list hivyo viwanda vya Eldoret tuone huo uchumi wa kupita Tanga!eldorate ilichelewa sana kupewa Jiji Kwani ipo mbali sana Kwani Hata Kiuchumi inaizidi Tanga
Mambo ya Mbeya na Tanga yameingije kwenye huu uzi?Ila aliyeipa Mbeya hadhi ya jiji sijui alitumia vigezo gani, bora hata Mwanza kidogo
Hadhi ya jiji sio maghorofa, bali ni expansion, uchumi na vibrant, huo uchafu wa eldoret huwezi linganisha na majiji yetu tukuka ya Tanzania.Itakuwa kila nchi ina vigezo vyake, ndio maana Dodoma au Mbeya hayawezi kuwa majiji Kenya.
Wajinga sana na ushamba hiyo Eldoret ukitoka hapo cbd kuna vijiji kama hupo mpwayungu.Kwani watu bado mnaushamba wakuangalia magorofa
Tanzania haina jiji uchwara hata moja shida ni miundombinu, siku ukienda huko eldoret, kisumu au Nakuru ndio utajua kuwa Tanzania ina majiji mazuri sana na yenye vibrant na chaotic feelings.Ipo mbali kushinda majiji mengi uchwara ya TZ.
Wanababaishwa na tughorofa tuwili vya hapo, kisumu inazidiwa na eldoret kwa maghorofa lakini kisumu ni jiji la tatu.Hii na Iringa bora Iringa. Haistahili kuwa jiji labda kama wana vigezo vyao vingine ila muonekano wa mji ni chini ya kiwango.
Hakika huu ni ukweli lakini majiji yetu ni mazuri kuliko hizo miji za wakenya tatizo ni miundombinu tu hasa barabara bora ndio hatuna.Tanzania Jiji ni Dar na Mwanza tu kwa vigezo vyote
Tazama vibrant, chaotic feeling, mandhari na pia uchumi wa sehemu hiyo hizo ni sifa tukukq nje ya population.Labda vingejadiliwa bigezo ambavyo hutumika kutangaza eneo kuwa ni Jiji na kama vigezo hivyo kila nchi ina standard yake au ni universal.
Huko mchini Swtzerland kuna mji unaitea Lugano, nalo ni Jiji
View attachment 3072370View attachment 3072371View attachment 3072372
View attachment 3072373View attachment 3072374View attachment 3072375View attachment 3072376
Ni watu maskini wanapenda sifaMwezi huu maada ya mchakato wa mwaka mzima Kenya imeitangaza rasmi Eldoret kuwa jiji la 5 katika nchi hiyo, hata hivyo Wakenya wengi wamedhihaki na kukebehi uamuzi huo wakiita Eldoret kuwa bado ni kijiji tu!
Hawa majirani zetu tuwaambie ukweli au tuwaache tu?
View attachment 3072182View attachment 3072183View attachment 3072184View attachment 3072185View attachment 3072186View attachment 3072187