ChoiceVariable Iringa ni kuzuri hivi??Haina tofauti na iringa
Tanga ni manispaa tangu mkoloni,huenda litakiwa kuwa jiji la pili nchini kama sio siasa za zao la mkongeeldorate ilichelewa sana kupewa Jiji Kwani ipo mbali sana Kwani Hata Kiuchumi inaizidi Tanga
Ila aliyeipa Mbeya hadhi ya jiji sijui alitumia vigezo gani, bora hata Mwanza kidogoKama mbeya ni jiji basi eldoret ilipaswa kuwa jiji mapema zaidi
Tz vigezo ni nini?Itakuwa kila nchi ina vigezo vyake, ndio maana Dodoma au Mbeya hayawezi kuwa majiji Kenya.
Hii na Iringa bora Iringa. Haistahili kuwa jiji labda kama wana vigezo vyao vingine ila muonekano wa mji ni chini ya kiwango.Mwezi huu maada ya mchakato wa mwaka mzima Kenya imeitangaza rasmi kaunti ya Eldoret kuwa jiji la 5 katika nchi hiyo, hata hivyo Wakenya wengi wamedhihaki na kukebehi uamuzi huo wakiita Eldoret kuwa bado ni kijiji tu!
Hawa majirani zetu tuwaambie ukweli au tuwaache tu?
View attachment 3072182View attachment 3072183View attachment 3072184View attachment 3072185View attachment 3072186View attachment 3072187
Dodoma umewahi kufika au unaandika kwa mkumbo tu!? Zungumzia Mbeya na TangaItakuwa kila nchi ina vigezo vyake, ndio maana Dodoma au Mbeya hayawezi kuwa majiji Kenya.