Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ushawahi kuweka mimba mtoto wa jambazi?1. Kufirisika ama kufukuzwa kazi hasa ukiwa 40s na huna assets wala skills za kukupiga jeki.
2. Kupotelewa kwa mtoto ama mzazi (heri mzike mjue kapumzika sehem flan kuliko kupotea)
3. Kesi baada ya kesi yani kushinda mahakamani
ngazi chini hapo bado sex mkuu ama ndio intimacy on the third ladderShida kubwa kuliko zote ni basic needs yaani ukikosa hizo hata muda wa kuwaza mengine unakuwa hauna...; in short ukiangalai Hierarchy of Needs utaona kwamba ukipata za chini ndio unapata muda wa kuwaza kutafuta za juu
View attachment 2956340
Uchizi huo sasaKuna ile mgeni anabisha hodi mlangoni,unaenda kumfungilia tu unajikwa kidole gumba ukuvha unatoka.
Maumivu yake unaweza kumtukana aliyebisha hodi hata kama ni babaako .
Hio ni ngazi ya tatu huwezi kuwaza sex wakati tumbo halijatia kitu kwa siku kadhaa au unafukuzwa na simba au unangojea kusulibiwa na Panga....; Ukishashiba ndio macho yanaanza kuangalia uzuri wa waliokuzungukangazi chini hapo bado sex mkuu ama ndio intimacy on the third ladder
dronedrake Poor Brain BICHWA KOMWE - To yeye Intelligent businessman njooni humu mtoe nenoHujawahi kufumwa na mamaako unapiga puli wewe... Mbona utaelewa.
😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌 Yaani unamuitq na bichwa komwe kweli....
Na siku hizi hela zenyewe ukizipata hazikai yaani haziservic sasa huwa najiuliza kwa wale ambao hawana uhakika na kipato chao huwa wanaishije?Ukikosa pesa kuskie kwamtu yani unakua chizi anae onekana kachanganyikiwa😂😂😂
Bila kusahau hasira hasira, Kila mtu unamuona mbayaUkikosa pesa kuskie kwamtu yani unakua chizi anae onekana kachanganyikiwa😂😂😂
Heshima yakoItakuwa hujawahi kuendesha baiskeli(phoenix),mguu ukakosa pederi ukajikuta unagonga pumb* kwenye bomba la mbele..
Maumivu yake yasikie tu.