Haya ni mazao matano ambayo hayana mkono wa Serikali, ukikaza huko unachomoka na pesa

Haya ni mazao matano ambayo hayana mkono wa Serikali, ukikaza huko unachomoka na pesa

mwanyaluke

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2015
Posts
704
Reaction score
2,435
Umaskini wa wakulima Tanzania unachangiwa kwa asilimia 50% na Serikali na asilimia inayobaki ni matokeo ya majanga, mkulima mwenyewe nk, kwa nini Serikali inachangia asilimia kubwa ya umaskini kwa wakulima ni kuwapangia bei, soko na kuwaundia wakulima sera za ajabu ambazo mwisho wa siku huathiri mkulima.

Moja ya eneo ambalo Serikali imekuwa ikiwaumiza sana wakulima ni sera ya kufunga mipaka kwa kigezo Cha nchi kuwa Ina njaa na kuthibiti mfumuko wa bei, mkulima analima, anahangaika, anateseka then mwisho mwa mavuno Serikali inafunga mipaka, hili linamlazimisha mkulima kuuza kwa bei ndogo mazao yake kwa sababu hamna compentions ya wananuzi kwa kulifahamu hili, kilimo huonekana kama ni laana na kazi ya wajinga tu .
Kuna mazao ukiyalima utapangiwa wapi uuze, lini na kwa bei gani, na kuna mazao ukilima kutokana na nature yake Serikali imeshindwa kuwa na sera ya moja kwa moja. Mazao haya usiguse kulima unajiandaa kupanic na kuwa maskini

1. Mahindi, Moja ya wakulima wanaochezewa mno ni wakulima wa mahindi, kidogo tu mahindi yamezuiwa kutoka nje, kidogo tu mahindi ni ruksa kwenda nje, mara Serikali imeamua itanunua mahindi kwa bei ya 500tsh kwa kilo ili mradi, effect yake ni kwamba ili upate pesa kupitia mahindi unahitaji uwe na hisia Kali sana.

2. Kahawa, parachichi, chai, tumbaku nk na mazao ya biashara kiujumla , huku serikali hupanga kodi na mrundikano wa tozo kiasi kwamba hata soko liwe zuri vipi, mkulima hupata pesa ndogo ambayo haiendani na jitahada zake.

Mazao haya serikali imeshindwa kupanga bei kabisa na kushindwa kuathiri wanunuzi kiasi kwamba unalima with hope kuwa nitapata faida , na unakuwa na uhakika kama bei zikiyumba ni matakeo ya kanuni ya demands and supply.
1. Mpunga hata serikali waje na sera gani ukilima mpunga na ukafanikiwa kuwa na mavuno ya kutosha wewe tunza store tu, ukianza kuuza mwezi December faida ipo, ni mwaka mmoja tu mpunga ulizingua ni kipindi Serikali ya Kikwete iliagiza mpunga Toka China, mpunga ukiuza December Piga ua market is there hata kwa kuuza soko la ndani Bado lazima baada ya mauzo utacheka tu nakujiona mwamba

2. Viazi mviringo Huwa mimi nikiita first lady unajua kwa nini kinachoamua soko la viazi ni demand and supply, ukilima kiazi faida ipo tu muhimu kipeto Cha debe sita kiuzwe kuanzia 30000 ,hapa faida ipo tu.

3. Ndizi, hili zao linafanana sana na viazi , shida ya ndizi huwezi zalisha kwa wingi kwa sababu ni selective sana na hali ya hewa na udonngo ni maeneo machache sana ya nchi hii unaweza kulima ndizi kwa faida na bei za ardhi huko ni kubwa sana na uzalishaji wake Huwa kama salary tu zinakupatia pesa kidogo kidogo karibu mwaka mzima.

4.ngano Lima unavyojua wewe, soko lipo pale 5. Mazao ya viungo kasoro tu tangawizi haya faida ipo muhimu unazalisha kiasi gani.
 
Umaskini wa wakulima Tanzania unachangiwa kwa asilimia 50% na Serikali na asilimia inayobaki ni matokeo ya majanga, mkulima mwenyewe nk, kwa nini Serikali inachangia asilimia kubwa ya umaskini kwa wakulima ni kuwapangia bei, soko na kuwaundia wakulima sera za ajabu ambazo mwisho wa siku huathiri mkulima.

Moja ya eneo ambalo Serikali imekuwa ikiwaumiza sana wakulima ni sera ya kufunga mipaka kwa kigezo Cha nchi kuwa Ina njaa na kuthibiti mfumuko wa bei, mkulima analima, anahangaika, anateseka then mwisho mwa mavuno Serikali inafunga mipaka, hili linamlazimisha mkulima kuuza kwa bei ndogo mazao yake kwa sababu hamna compentions ya wananuzi kwa kulifahamu hili, kilimo huonekana kama ni laana na kazi ya wajinga tu .
Kuna mazao ukiyalima utapangiwa wapi uuze, lini na kwa bei gani, na kuna mazao ukilima kutokana na nature yake Serikali imeshindwa kuwa na sera ya moja kwa moja. Mazao haya usiguse kulima unajiandaa kupanic na kuwa maskini

1. Mahindi, Moja ya wakulima wanaochezewa mno ni wakulima wa mahindi, kidogo tu mahindi yamezuiwa kutoka nje, kidogo tu mahindi ni ruksa kwenda nje, mara Serikali imeamua itanunua mahindi kwa bei ya 500tsh kwa kilo ili mradi, effect yake ni kwamba ili upate pesa kupitia mahindi unahitaji uwe na hisia Kali sana.

2. Kahawa, parachichi, chai, tumbaku nk na mazao ya biashara kiujumla , huku serikali hupanga kodi na mrundikano wa tozo kiasi kwamba hata soko liwe zuri vipi, mkulima hupata pesa ndogo ambayo haiendani na jitahada zake.

Mazao haya serikali imeshindwa kupanga bei kabisa na kushindwa kuathiri wanunuzi kiasi kwamba unalima with hope kuwa nitapata faida , na unakuwa na uhakika kama bei zikiyumba ni matakeo ya kanuni ya demands and supply.
1. Mpunga hata serikali waje na sera gani ukilima mpunga na ukafanikiwa kuwa na mavuno ya kutosha wewe tunza store tu, ukianza kuuza mwezi December faida ipo, ni mwaka mmoja tu mpunga ulizingua ni kipindi Serikali ya Kikwete iliagiza mpunga Toka China, mpunga ukiuza December Piga ua market is there hata kwa kuuza soko la ndani Bado lazima baada ya mauzo utacheka tu nakujiona mwamba

2. Viazi mviringo Huwa mimi nikiita first lady unajua kwa nini kinachoamua soko la viazi ni demand and supply, ukilima kiazi faida ipo tu muhimu kipeto Cha debe sita kiuzwe kuanzia 30000 ,hapa faida ipo tu.

3. Ndizi, hili zao linafanana sana na viazi , shida ya ndizi huwezi zalisha kwa wingi kwa sababu ni selective sana na hali ya hewa na udonngo ni maeneo machache sana ya nchi hii unaweza kulima ndizi kwa faida na bei za ardhi huko ni kubwa sana na uzalishaji wake Huwa kama salary tu zinakupatia pesa kidogo kidogo karibu mwaka mzima.

4.ngano Lima unavyojua wewe, soko lipo pale 5. Mazao ya viungo kasoro tu tangawizi haya faida ipo muhimu unazalisha kiasi gani.
Mkuu imelima wapu viazi ?.
Jiazi ni perishable goods na soko lake halieleweki. Boom ya viazi hairabitiki na huwakutacwachache sana. Ukifungwa mpaka wakenya na wazambia hawaji kununua na bei huwa mbaya na hata kukosa soko na viazi kuozea shambani.
Zao kama ngano ni zao fogo halieleweki na wakilima ba wala serikali haiwezi kipanga bei maana local agr na haizalishei jwa wingi ni kama njegere. Siku wakulima wakizalusha matani ya zao hilo utaoba TOZO na misera ya ajabu.
Mpunga unaathirika na zuio la mipaka. Kipindi cha Magu mpunga ulifosa miaka 2 mfululizo. Jamaa yangu aliweka store haukupanda bei. Hali ya hewa ikiwa nzuri mpunga huwa hauna bei maana unalimwa sehemu kubwa sana ya TZ.
Viazi nimeshuhutia kwa mimi kudodewa shambani kutokana na tamko la JPM kuzuia wakenya wasuingie TZ. Magu alikuwa ana balance mfumuko wa bei kwa kuwaumiza wakulima sio kwa kukuza kipato na mfumuko kujituliza wenyewe.
TZ wakulima ni mabogus mda mwingine serikali hawapangii bei bsli wajanja kwa makusudi hishusha bei.Mfano juzi parachichi imeuzwa mia2 kwa ujinga wa wakulima wamekubali kuuza jasho lao sawa na bure.
Kilimo kinaangushwa asilimia 90 na wakulina wenyewe.Hawana misimamo ba uchu wa utajiri.Nimekaa sana kwa walima viazi.
 
Mazao ya miti kama;

1.mbao-bei zake hutegemea na bei ya chuma pamoja na sera ya serikali kuuza au kutokuuza nje ya nchi.

2.nguzo za umeme-bei ya nguzo za umeme zinazotokana na miti zimeshuka na zimekuwa zikiendelea kushuka kwasababu ya serikali kuruhusu uingizwaji wa nguzo za aina hiyo kutoka Afrika ya kusini pamoja na uzalishaji wa nguzo za concrete au zege.
Serikali iliangalie hili kwa sisi wakulima walala hoi kutoka nyanda za juu kusini magharibi
 
Mkuu imelima wapu viazi ?.
Jiazi ni perishable goods na soko lake halieleweki. Boom ya viazi hairabitiki na huwakutacwachache sana. Ukifungwa mpaka wakenya na wazambia hawaji kununua na bei huwa mbaya na hata kukosa soko na viazi kuozea shambani.
Zao kama ngano ni zao fogo halieleweki na wakilima ba wala serikali haiwezi kipanga bei maana local agr na haizalishei jwa wingi ni kama njegere. Siku wakulima wakizalusha matani ya zao hilo utaoba TOZO na misera ya ajabu.
Mpunga unaathirika na zuio la mipaka. Kipindi cha Magu mpunga ulifosa miaka 2 mfululizo. Jamaa yangu aliweka store haukupanda bei. Hali ya hewa ikiwa nzuri mpunga huwa hauna bei maana unalimwa sehemu kubwa sana ya TZ.
Viazi nimeshuhutia kwa mimi kudodewa shambani kutokana na tamko la JPM kuzuia wakenya wasuingie TZ. Magu alikuwa ana balance mfumuko wa bei kwa kuwaumiza wakulima sio kwa kukuza kipato na mfumuko kujituliza wenyewe.
TZ wakulima ni mabogus mda mwingine serikali hawapangii bei bsli wajanja kwa makusudi hishusha bei.Mfano juzi parachichi imeuzwa mia2 kwa ujinga wa wakulima wamekubali kuuza jasho lao sawa na bure.
Kilimo kinaangushwa asilimia 90 na wakulina wenyewe.Hawana misimamo ba uchu wa utajiri.Nimekaa sana kwa walima viazi.
Dah! Mkuu Tangantika huwa unaandika je? Unatumia simu gani au mwenzetu unatumia lugha gani😂😂😂 maana post zako zinakuwa ngumu sana kusoma.
 
Dah! Mkuu Tangantika huwa unaandika je? Unatumia simu gani au mwenzetu unatumia lugha gani😂😂😂 maana post zako zinakuwa ngumu sana kusoma.
Namavidole makubwa sana heri nyie mliopewa vidole vya kike vinaenea jwenye keypard. Kidole changu kinagusa herufi tatu kwa mpigo na sina mda wa ku edit.
Heri yenu mliopewa tuvidole twa kike.
Sisi wengine tulitaka kuwa ma giant hadi vidole.
Mwanzoni nilidhani ni matatizo ta techno kumbe hata Samsung yale yale. Heri yenu mliopewa tuvidole twa kike.
 
Umaskini wa wakulima Tanzania unachangiwa kwa asilimia 50% na Serikali na asilimia inayobaki ni matokeo ya majanga, mkulima mwenyewe nk, kwa nini Serikali inachangia asilimia kubwa ya umaskini kwa wakulima ni kuwapangia bei, soko na kuwaundia wakulima sera za ajabu ambazo mwisho wa siku huathiri mkulima.

Moja ya eneo ambalo Serikali imekuwa ikiwaumiza sana wakulima ni sera ya kufunga mipaka kwa kigezo Cha nchi kuwa Ina njaa na kuthibiti mfumuko wa bei, mkulima analima, anahangaika, anateseka then mwisho mwa mavuno Serikali inafunga mipaka, hili linamlazimisha mkulima kuuza kwa bei ndogo mazao yake kwa sababu hamna compentions ya wananuzi kwa kulifahamu hili, kilimo huonekana kama ni laana na kazi ya wajinga tu .
Kuna mazao ukiyalima utapangiwa wapi uuze, lini na kwa bei gani, na kuna mazao ukilima kutokana na nature yake Serikali imeshindwa kuwa na sera ya moja kwa moja. Mazao haya usiguse kulima unajiandaa kupanic na kuwa maskini

1. Mahindi, Moja ya wakulima wanaochezewa mno ni wakulima wa mahindi, kidogo tu mahindi yamezuiwa kutoka nje, kidogo tu mahindi ni ruksa kwenda nje, mara Serikali imeamua itanunua mahindi kwa bei ya 500tsh kwa kilo ili mradi, effect yake ni kwamba ili upate pesa kupitia mahindi unahitaji uwe na hisia Kali sana.

2. Kahawa, parachichi, chai, tumbaku nk na mazao ya biashara kiujumla , huku serikali hupanga kodi na mrundikano wa tozo kiasi kwamba hata soko liwe zuri vipi, mkulima hupata pesa ndogo ambayo haiendani na jitahada zake.

Mazao haya serikali imeshindwa kupanga bei kabisa na kushindwa kuathiri wanunuzi kiasi kwamba unalima with hope kuwa nitapata faida , na unakuwa na uhakika kama bei zikiyumba ni matakeo ya kanuni ya demands and supply.
1. Mpunga hata serikali waje na sera gani ukilima mpunga na ukafanikiwa kuwa na mavuno ya kutosha wewe tunza store tu, ukianza kuuza mwezi December faida ipo, ni mwaka mmoja tu mpunga ulizingua ni kipindi Serikali ya Kikwete iliagiza mpunga Toka China, mpunga ukiuza December Piga ua market is there hata kwa kuuza soko la ndani Bado lazima baada ya mauzo utacheka tu nakujiona mwamba

2. Viazi mviringo Huwa mimi nikiita first lady unajua kwa nini kinachoamua soko la viazi ni demand and supply, ukilima kiazi faida ipo tu muhimu kipeto Cha debe sita kiuzwe kuanzia 30000 ,hapa faida ipo tu.

3. Ndizi, hili zao linafanana sana na viazi , shida ya ndizi huwezi zalisha kwa wingi kwa sababu ni selective sana na hali ya hewa na udonngo ni maeneo machache sana ya nchi hii unaweza kulima ndizi kwa faida na bei za ardhi huko ni kubwa sana na uzalishaji wake Huwa kama salary tu zinakupatia pesa kidogo kidogo karibu mwaka mzima.

4.ngano Lima unavyojua wewe, soko lipo pale 5. Mazao ya viungo kasoro tu tangawizi haya faida ipo muhimu unazalisha kiasi gani.
Katika yote NGANO......NGANO DILI SANA....serikali iliyaua mashamba ya NAFCO Basotu.....wanatoa vibali watu wana Import ngano kimya kimya....lakini hata hivyo...bado ukilima itakulipa tu 👍
 
Back
Top Bottom