Haya Sasa..!! Hili Nalo Ni Balaa Lingine La Wanawake..!!

Haya Sasa..!! Hili Nalo Ni Balaa Lingine La Wanawake..!!

STUNTER

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2015
Posts
13,076
Reaction score
17,247
'Can you come and Pick me Up?''
Hii ni sentensi yenye maana kubwa sana
anapokutumia Msichana wa Kimjini-Mjini ambae ndo
umeanza kumrushia punje za mchele adonoe ili aingie
Kingi awe mchuchu. Maana kuu ya Meseji hii: Anataka
kujua UTAKUJAJE KUMPICK...Mademu wa Mjini wanapenda magari asikwambie mtu, liwe na urithi au
umemtoa kafara mamako,maadam ana uhakika
akitoka ndani hatembei kwa mguu na kunuka jasho
kwa daladala basi asilimia 75 ushampata....Kimbembe
ni pale akikwambia Come and Pick Me up halafu
unamzukia kwao Yombo Dovya na Pikipiki ya TOYO...Amini Amini nakuambia,Umeshamkosa huyo
Sasa we jishaue Instagram pale unaposti uko Serena
mara Hyatt basi demu anajua YEESSS...Akisema Come
and Pick me Up we go somewhere for Dinner,unazuka
na Bajaj imeandikwa,
''Hata Maskini anastahili
kupendwa'', Next time ukimwambia can we go dinner utasikia tu, Am so tired leo I had lots of meetings...Sorry
cant make it nna assignment ya kutype...
Come and
Pick me Up inaweza ikakupa au kukukosesha
kabisaaaa, Uionapo Meseji hiyo jua ina maana kubwa
kuliko ufupi wake Shkamooni Wadada wa Mjini
wenye Alergy na Bajaj japo babako Mzazi Phonebook yake imejaa majina yao tu,Dula Bajaj...Bajaj
Sayansi...BajajTandika..Bajaj Mbovu...Bajaj
Side...Shkamooni tena.
 
Na jibu lako la kukubali kwenda kum-pick lina maana kubwa kuliko linavyoonekana
 
Hapo simple tu ukiona ngoma ngumu inabidi umwambie gari lipo gereji linapigwa service achukue Taxi kwa gharama yoyote wewe utalipa "kumbe umeshajua taxi haitazidi buku5 nauli yake"..akisema kituo cha Taxi kiko mbali unamtumia Taxi ikamchukue hapo hapo nje kwao nauli haitazidi buku 10.
 
'Can you come and Pick me Up?''
Hii ni sentensi yenye maana kubwa sana
anapokutumia Msichana wa Kimjini-Mjini ambae ndo
umeanza kumrushia punje za mchele adonoe ili aingie
Kingi awe mchuchu. Maana kuu ya Meseji hii: Anataka
kujua UTAKUJAJE KUMPICK...Mademu wa Mjini wanapenda magari asikwambie mtu, liwe na urithi au
umemtoa kafara mamako,maadam ana uhakika
akitoka ndani hatembei kwa mguu na kunuka jasho
kwa daladala basi asilimia 75 ushampata....Kimbembe
ni pale akikwambia Come and Pick Me up halafu
unamzukia kwao Yombo Dovya na Pikipiki ya TOYO...Amini Amini nakuambia,Umeshamkosa huyo
Sasa we jishaue Instagram pale unaposti uko Serena
mara Hyatt basi demu anajua YEESSS...Akisema Come
and Pick me Up we go somewhere for Dinner,unazuka
na Bajaj imeandikwa,
''Hata Maskini anastahili
kupendwa'', Next time ukimwambia can we go dinner utasikia tu, Am so tired leo I had lots of meetings...Sorry
cant make it nna assignment ya kutype...
Come and
Pick me Up inaweza ikakupa au kukukosesha
kabisaaaa, Uionapo Meseji hiyo jua ina maana kubwa
kuliko ufupi wake Shkamooni Wadada wa Mjini
wenye Alergy na Bajaj japo babako Mzazi Phonebook yake imejaa majina yao tu,Dula Bajaj...Bajaj
Sayansi...BajajTandika..Bajaj Mbovu...Bajaj
Side...Shkamooni tena.
Mbula mkuu kunywa soda asee umenigusa sehemu!!
 
Akisema hiyo come and pick me up then anakuja kwangu sawa.....ila ndo ukute anaenda kusalimia wajomba zake huko alafu anakuweka usubiri kama "masikini anayestahili kupendwa"....hata huyo masikini hatafurahi.
 
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
100% it is true,
Kuna ukweli Mkuu!😀😀😀😀😀😀
 
Hapo simple tu ukiona ngoma ngumu inabidi umwambie gari lipo gereji linapigwa service achukue Taxi kwa gharama yoyote wewe utalipa "kumbe umeshajua taxi haitazidi buku5 nauli yake"..akisema kituo cha Taxi kiko mbali unamtumia Taxi ikamchukue hapo hapo nje kwao nauli haitazidi buku 10.
Kuna Uber taxis bei yake kama bajak tu!
 
Hapo simple tu ukiona ngoma ngumu inabidi umwambie gari lipo gereji linapigwa service achukue Taxi kwa gharama yoyote wewe utalipa "kumbe umeshajua taxi haitazidi buku5 nauli yake"..akisema kituo cha Taxi kiko mbali unamtumia Taxi ikamchukue hapo hapo nje kwao nauli haitazidi buku 10.
Hahahaha hapo utamuweza
 
Back
Top Bottom