Lyn Vivac
JF-Expert Member
- Aug 30, 2016
- 858
- 1,019
Mh!!!! Kujinyasi kote huko ilimradi tu ufanikishe uzinzi????? Mungu anawaona, sadaka kanisani hamtoi...... Jamaniiiiiiiiii[emoji22] [emoji22] [emoji22]Hapo simple tu ukiona ngoma ngumu inabidi umwambie gari lipo gereji linapigwa service achukue Taxi kwa gharama yoyote wewe utalipa "kumbe umeshajua taxi haitazidi buku5 nauli yake"..akisema kituo cha Taxi kiko mbali unamtumia Taxi ikamchukue hapo hapo nje kwao nauli haitazidi buku 10.