Haya Sasa..!! Hili Nalo Ni Balaa Lingine La Wanawake..!!

Katoe kanisani kwako wewe.
Sasa si uje kuliko kufanya z*naa?
Asante kwa neno kanisani muhimu.ila saa nyingine wanaume tunajishtukia imepita zaidi ya miezi kadhaa kukaribia mwaka hujananiliu ndo hapo ibilisi anatuhadaa kuzinaa sababu unajiuliza maswali mengi hayana majibu
 
Acheni kuchukuwa wanawake waliochoka mbaya jamani jamani. ...alafu mnatu judge kuwa wanawake wote tuko hivyo. ...OH HELL NO. ...wanawake wengi tena niseme MAJORITY wana uwezo wao wa kutosha kabisa na hawamtegemei mtu! Jamani jamani uwìiiiii. ...hayo mambo yamesha pitwa na wakati milele. ...
 
Yaani mnavyolalamika utafikiri huwa mnalazimishwa, kama hujiwezi kaa pembeni wenzio wajilie wewe utafute wa saiz yako, kizuri gharama
 
Hili nalo ni moja kati ya maajabu ya jf, eti kila mdada wa humu ndani anaishi Dar...[emoji2] [emoji2]
Kwahyo niseme uongo naishi mkoa na wkt nipo dar mm ktk maisha siwez kupretend
 
Kumbe wewe ni Mwanamke?????????
 
Yaani mnavyolalamika utafikiri huwa mnalazimishwa, kama hujiwezi kaa pembeni wenzio wajilie wewe utafute wa saiz yako, kizuri gharama
Mnatulazimisha ndio, kwani uongo?
 
Hivi wanaume wa humu jf hakuna siku mmekutana na mema ya wanawake mje kusifia?Kila siku mtu unalalamika tu jamani kama wanawake wanakusumbua achaneni nao mfanye mambo mengine
 
Alafu wanawake hamutabiriki, hao mambo safi ndio utakuta wanapiga vizinga vile O.G
 
Alafu wanawake hamutabiriki, hao mambo safi ndio utakuta wanapiga vizinga vile O.G
Ni wewe mwenyewe ndiyo una attract hiyo design ya wanawake. ....ondoa uwoga utampata MWANAMKE ALIYE KUCHA ..yaani full package. ..good luck my friend
 
As usual
STUNTER na wanawake
Mi nitaendelea kukwambia tu Mungu anakuona
 
Hivi wanaume wa humu jf hakuna siku mmekutana na mema ya wanawake mje kusifia?Kila siku mtu unalalamika tu jamani kama wanawake wanakusumbua achaneni nao mfanye mambo mengine
Ni kama mpambano tu JF wanawake wenyewe wanaponda mwanzo mwisho.bora hivi angalau kunakuwa na uwiano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…