Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
Unajua watu hawatambui kua value ya currency haipunguzi uzito wa maisha magumu... Sarafu yetu haina tofauti sana na WON ya south korea, lakini ile ni moja ya nchi tajiri duniani... au Japan ambaye anashindwa value hata na Kenya basi angekua pazuri mno... i think we have more things to care about na sio kukaa tunalilia currency daily
Unajua watu hawatambui kua value ya currency haipunguzi uzito wa maisha magumu... Sarafu yetu haina tofauti sana na WON ya south korea, lakini ile ni moja ya nchi tajiri duniani... au Japan ambaye anashindwa value hata na Kenya basi angekua pazuri mno... i think we have more things to care about na sio kukaa tunalilia currency daily
Naona imeanza na SHEIKH na sisi Makaffir tunaruhusiwa kutumia, nisije nikakutwa na wafuasi wa Allah nikala kipondo
umenifanya nicheke maana hapa nina note 9 za mia tano natafakari ingekuwa coin
Unajua watu hawatambui kua value ya currency haipunguzi uzito wa maisha magumu... Sarafu yetu haina tofauti sana na WON ya south korea, lakini ile ni moja ya nchi tajiri duniani... au Japan ambaye anashindwa value hata na Kenya basi angekua pazuri mno... i think we have more things to care about na sio kukaa tunalilia currency daily
Unajua watu hawatambui kua value ya currency haipunguzi uzito wa maisha magumu... Sarafu yetu haina tofauti sana na WON ya south korea, lakini ile ni moja ya nchi tajiri duniani... au Japan ambaye anashindwa value hata na Kenya basi angekua pazuri mno... i think we have more things to care about na sio kukaa tunalilia currency daily
Unajua watu hawatambui kua value ya currency haipunguzi uzito wa maisha magumu... Sarafu yetu haina tofauti sana na WON ya south korea, lakini ile ni moja ya nchi tajiri duniani... au Japan ambaye anashindwa value hata na Kenya basi angekua pazuri mno... i think we have more things to care about na sio kukaa tunalilia currency daily
Kama haya maelezo yako ni ya kweli basi nikubali tu watanzania tuna uelewa mdogo sana kwenye masuala ya fedha. Kila siku hapa jamvini watu tunajadili kushuka thamani ya shilingi vs USD aisee.Unajua watu hawatambui kua value ya currency haipunguzi uzito wa maisha magumu... Sarafu yetu haina tofauti sana na WON ya south korea, lakini ile ni moja ya nchi tajiri duniani... au Japan ambaye anashindwa value hata na Kenya basi angekua pazuri mno... i think we have more things to care about na sio kukaa tunalilia currency daily
Mkuu acha dharau kwa walipa kodi maarufu hapa nchini...eboo!!
Kama haya maelezo yako ni ya kweli basi nikubali tu watanzania tuna uelewa mdogo sana kwenye masuala ya fedha. Kila siku hapa jamvini watu tunajadili kushuka thamani ya shilingi vs USD aisee.
Tumia zilizoanza na Mwalimu
Naona imeanza na SHEIKH na sisi Makaffir tunaruhusiwa kutumia, nisije nikakutwa na wafuasi wa Allah nikala kipondo