Haya sasa tuufunge mwaka 2016 kwa wana jf kufahamiana hapa!

Haya sasa tuufunge mwaka 2016 kwa wana jf kufahamiana hapa!

Hii inaonyesha ni kiasi gani hutumii hata chembe ya ubongo. Ziko media kibao ambazo watu sio incognito. Nenda huko ukakutane na wenzio wenye akili finyu Kama yako.
 
Dah...Tajiri yuko selo kwa kuzuia hilo.... halafu wewe unataka kisimposimpo tu..[emoji13] [emoji13]
 
Weka jina lako halisi na picha yako halisi tufahamiane basiii




[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
1481981848500.png
 
Aliekutuma mwambie leo tumegoma njoo kivingine labda utafaulu.

Ila mi najitambulisha bila kinyongo. Hua naitwa kisikiji. na avataa unaiona labda kama wewe ni kipofu.
 
Mmmh sio mwendelezo wa task aliyoipanch Max? Mission arboted.
 
Back
Top Bottom