Haya sio madafu - Kenyan Shilling at 23-week high against dollar

Kwani what does it mean? The highest legal tender we have at the moment is 1,000 shillings note which means that before zero iondolewe, ilikuwa ni thamani ya elfu kumi
 
Siyo lazima kuwe na noti ya sh1000 au sh10000 nyinyi ni vilaza maanaya kuondoa sifuri moja ni kupunguza 90% na kubaki na 10% ya hela uliyonayo
Umeitoa wapi hyo elimu kwanza ya kwamba kuondoa sufuri moja ni kupunguza 90% ya na kubaki na 10%[emoji848]
 
GDP vs citizens welfare.
Kajielimishe hili.
Wacha kujitapa hapa...
Wakati ukiangalia pande ya kipato kenya tupo juu...
Utalii wa ndani tu umewashinda nynyi kw ajili ya umaskini
 
Umeitoa wapi hyo elimu kwanza ya kwamba kuondoa sufuri moja ni kupunguza 90% ya na kubaki na 10%[emoji848]
Usishangae sana ndugu, just blame it on their education standard. Hata mimi hiyo comment yake imeniwacha na maswali mengi sana!
 
Usishangae sana ndugu, just blame it on their education standard. Hata mimi hiyo comment yake imeniwacha na maswali mengi sana!
Ngoja nimsubirie, labda atakuja kutueleza vyema
 
Siyo lazima uondoe 9/10 ya number unaweza kuondoa hata 4/10 or 5/10 or 7/10 yaani ni jinsi nchi inavyotaka yenyewe kushape hela yake Kwa hiyo inawezekana Kenya amkuondoa 0 kwenye hela yenu ila mliondea percent furani pia kuhusu hoja ya sh5 umekosea Kwa sababu hela ya choni ni cent hivyo inawezekana kuondoa sifuri na ukabaki na sh 1 au sh 5
Hakuna siku kenya iliondoa sufuri katika sarafu yake. ingekuwa ni hivo hatungekuwa na coin ya shilingi tano ambayo bado inatumika hadi leo
 
Usishangae sana ndugu, just blame it on their education standard. Hata mimi hiyo comment yake imeniwacha na maswali mengi sana!
Acheni ujinga ukiondoa sifuri maana yake ni hiyo mfano sh100 ukiondoa sifuri moja inabaki sh10 sasa sasa sh10 ni 1/10 = 10% maana yake kuna 90% umeiremove au ukiondoa sifuri kwenye sh10000 unapata sh1000 ambayo ni sawasawa na 1/10 = 10%
 
Food is a basic need. Huwezi toza ushuru ulio juu wengi watashindwa kununua vyakula.
Cigarettes and Alcohol are luxurious things. Unaweza ishi bila.
Hakuna principles za kuongeza kodi kwenye bidhaa fulani ili isitumike

Wangetaka isitumike wangeipiga marufuku kuzalishwa na kuuzwa nchini

Allegations zako ni myopic
 
Bei ya food tz na Kenya hazijaachana
Juzi tumeshuhudia bei ya Rice na Unga zikiwa cheap than in TZ,
Na mnalipwa pesa kidogo,mnateseka sana
leta data sio maneno matupu, of course wakulima wanaomba bei zipande ili wapate maslahi zaidi

Bei ya vyakula Kenya ni almost mara 3 ya bei za Tanzania kwa ujumla.
 
Dah we jamaa bana. Leta ushahidi kwamba Kenya ilipunguza sufuri kwenye sarafu. Sio unarudia rudia tu hadithi za kujiliwaza ambazo mliambiwa na mababu zenu.
 
Si ni wewe ulisema kwamba Moi ndio aliondowa sufuri moja, meaning that wakati wa Kenyatta noti za elfu kumi zilikuwa
Achana naye huyo anaruka ruka tu bila formular. Noti ya KES200 ilitolewa mwaka wa 1986, ya 500 mwaka wa 1988. Noti ya 1,000 ambayo ndio noti kubwa Kenya hadi sasa hivi ilitolewa mwaka wa 1994! Moi alipoingia madarakani noti kubwa kabisa ilikuwa ya shilingi 100.
 
Tunazungumzia thamani ya pesa na uchumi hatuzungumzii ajira kichwa box we mfano huo niliokupa kwahiyo unataka kutuambia omani uchumi wake mkubwa kuliko marekani hilo ndo swal la kujibu
Mmarekani akifika oman kufanya kazi hujitapa...

Nchi za waarabu zenye wadhfa zinalipa hela ndefu bana, usizilinganishe na marekani kabisa katika quality of life
 
Wacha kujitapa hapa...
Wakati ukiangalia pande ya kipato kenya tupo juu...
Utalii wa ndani tu umewashinda nynyi kw ajili ya umaskini

Umesahau na wale wanaokufa njaa kule turkana. au wale siyo wakenya?
 
Unajua humu ndio hatuonani tu lakini tungekua tunaonana kuna watu mi nahisi hata mtu usingepoteza mda wako kumuelewesha kwa jinsi walivyo kua hawajielewi mfano wa huyu Komora tunazungumzia thamani ya Pesa anahamisha mada anasema kuhusu ajira eti mmarekan akiajiliwa Oman anafurahia mshahara mkubwa hivi haya c mawazo ya muuni wa mitaani mvuta bangi, kwan hapo nchini kwako hamna watu wanaoishi sawa na mtu aliokua Ulaya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…