Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 18,216
- 12,774
Kwani what does it mean? The highest legal tender we have at the moment is 1,000 shillings note which means that before zero iondolewe, ilikuwa ni thamani ya elfu kumiWenae kwani kuondoa sifuri moja lazima kuwe na noti ya sh 10000 !!!? Kwani kukiwa na noti ya sh 1000 uwezi kuondoa sifuri ? Pia swala la sifuri ni kurahisisha tu unaweza kuondoa hata sh 350 au sh 600 au sh 250 mfano tz tunaweza kuondoa sh 500 kwenye sh 800