Haya sio mafuta ya kupikia kweli?

Hii inaitwa mwana ukome, usimuombe tena[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hahahahaa Unapenda Mafuta au Unapenda harufu!!
 
Nimeanza ona tofaut ya ngoz yangu, inateleza na nakuwa soft sana, nywele nimepaka mara mbili nikasuka hivyo mrejesho bado, ila nitakuletea mrejesho pia
 
Bia hiyo bana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…