GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Ninaungana na TEC 100% kwa Tamko.
Sasa ole wenu Tamko lenu lije tofauti na nilivyoanza Mimi mtajua kwanini Wimbo wa Taifa huwa hauna Kolabo na Nyoka hana Ugoko ( I'm Kidding guys )
Tafadhali naomba Wachaguliwe Members kadhaa na kwa Niaba yetu waje na Tamko la Jumla la wana JamiiForums wote juu ya Sakata zima la Kukataa Ubinafsishwaji wa Bandari yetu kwa DP World.
Nikija ( Log In ) hapa baadae Saa 4 na Nusu Asubuhi naomba nilikute hilo Tamko letu sawa?
Sasa ole wenu Tamko lenu lije tofauti na nilivyoanza Mimi mtajua kwanini Wimbo wa Taifa huwa hauna Kolabo na Nyoka hana Ugoko ( I'm Kidding guys )
Tafadhali naomba Wachaguliwe Members kadhaa na kwa Niaba yetu waje na Tamko la Jumla la wana JamiiForums wote juu ya Sakata zima la Kukataa Ubinafsishwaji wa Bandari yetu kwa DP World.
Nikija ( Log In ) hapa baadae Saa 4 na Nusu Asubuhi naomba nilikute hilo Tamko letu sawa?