joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Huna unalojua zaidi ya kubebwa na siass za kikabila, kwasababu kabila lako ndio linaongoza serikali unatetea kila uvundo wanaofanyaUwe na mazoea ya kujiongeza bana, unabishana kuhusu marekebisho yatakayofanywa kwenye katiba ya Kenya wakati ufahamu wako wote kuhusu mchakato wenyewe umeutoa kwenye uzi huu wa kiajabu ajabu. Hizo changamoto zote ulizozitaja zitapunguzwa kwa njia kubwa kupitia mapendekezo mengi ambayo wakenya wanataka yawe kwenye kura ya maamuzi. Maoni ya wananchi yatasikizwa kote kote nchini.
1)Onyesha ni vipi katiba yenu inazingumzia dhuluma ya ardhi, tume mbalimbali zimeundwa ili kuchunguza umilikishwaji wa ardhi kwa wanasiasa lakini mumeshindwa kutekekeza mapendekezo ya tume hizo, soma vitabu vya "This time tomorrow" na "Not yet Uhuru"
2)Eleza vipi katiba yenu imesaidia kupunguza tatizo la tribalism ambalo linazidi kuongezeka siku hadi Siku.
3)Eleza katiba yenu inavyopambana na kupunguza gap la masikini na tajiri, linazidi kuongezeka daily, ninyi mpo busy na kuandika Latina.
4)Eleza mbona unemployment na insecurity hali inazidi kuwa mbaya, miaka nane sasa tangu muandike katiba, but nor improvements, bado mnaendelea kuandika katiba kila siku.
Tatizo kubwa la Kenya hamtumii muda wa kutosha kufikiria mambo yenu, mnakurupuka sana matokeo yake mnapata wrong diagnosis then you end up with wrong prescription, buying wrong medication, you are not cured you go back to the Doctor and circle starts again.