Haya wale tunaojua mpira vizuri Fundi Shekhan Rashid yupo live Sports Bar Clouds tv

viuongo bora muda wote ni Shekhan rashid na Ramadhan chombo redondo,,
Hakika soka la bongo linazidi kuua vipaji shekhan rashid alikua na kiwango cha kucheza psg,madrid,,lkn wapi,,
Dah hizi dharau kubwa sana kwa Hamis Gaga,Ramadhan Lenny,Michael Paul,Hassan Afif nk
 
Ngoja nikusaidie mweu ww ilikuwa Mechi ya mikoa jamaa alikuwa anachezea mzizima ambayo kwa Sasa ndio dar aliumia vibaya sana enka y Mguu w kushoto ndio ilimpoteza kweny soka l ushindani
Umemnukuu nani mkuu?
 
Shekhan alikuja Mji Mpwapwa 1999 akacheza ligi daraja la pili, kwa sasa ndio ligi daraja la kwanza, baada ya ligi kuisha akacheza mto Singida mechi za kumbe la hedex Kassim Dewji akamuona Singida vs Simba akamfanyia mpango akampeleka nje ya nchi hio sasa 2000
 
Ngoja nikusaidie mweu ww ilikuwa Mechi ya mikoa jamaa alikuwa anachezea mzizima ambayo kwa Sasa ndio dar aliumia vibaya sana enka y Mguu w kushoto ndio ilimpoteza kweny soka l ushindani
Upo sawa kabisa, kombe la Mzizima lile ndio alivunjika mguu na alikaa nje wa uwanja zaidi ya mwaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…