Haya wale tunaojua mpira vizuri Fundi Shekhan Rashid yupo live Sports Bar Clouds tv

Haya wale tunaojua mpira vizuri Fundi Shekhan Rashid yupo live Sports Bar Clouds tv

Marehemu alikuwa ' anasubiri ' kwa Kipenzi changu Patrick Betwell ' Buba ' Mmasai ' Kamarada ' wangu. Huyo Betwell alikuwa anaujua mpira hadi wengi tulikuwa tunashangaa na kujiuliza ni kwanini hakutaka kwenda Ulaya kwani asingekosa Timu. Hivi sasa yupo zake tu Mkoani Ruvuma ( Songea ) anavuna Mahindi na kushinda tu kunywa Gongo japo makazi yake mengine ni Mkoani Morogoro. Kuna wakati ' Rafiki ' yangu mmoja aliniambia alimuona ' Vibanda ' vya Gongo pale eneo la ' Manzese ' Mkoani Morogoro jirani na Uwanja ule wa Sabasaba akiwa ' kalewa ' chakari na Gongo niliumia, nilihuzunika na kusikitika sana ' Kamarada '.
Duuu inasikitisha sana kwa mchezaji aliyecheza kwa kiwango chake kuishia kunywa gongo
 
Huyu jamaa alikuwa fundi sana.
Alianza kucheza Simba akiwa na umri Mdogo.
Umenikumbusha Simba ya
1. Tanzania one Mohammed Mwameja
2. Kimti
3. Dua Saidi
Namkumbuka #
Shekhan Rashid ,mechi za umiseta kati ya Azania na Al haramain ,jamaa alikua al haramain ,si mchezo hiyo game ,uwanja wa shule sekondari Pugu, Azania Capt Shafih Dauda

Baadae tukakutana Friends na AFC OPEC. Mikocheni
 
Namkumbuka #
Shekhan Rashid ,mechi za umiseta kati ya Azania na Al haramain ,jamaa alikua al haramain ,si mchezo hiyo game ,uwanja wa shule sekondari Pugu, Azania Capt Shafih Dauda

Baadae tukakutana Friends na AFC OPEC. Mikocheni
Mwaka gani? Nakumbuka Nikiwa Pugu nilishuhudia fainali nzuri ya umiseta kanda ya mashariki kibasila ya Salvatory Edward ikiipiga jitegemee mgulani 2-0 na kubeba kombe
 
Marehemu alikuwa ' anasubiri ' kwa Kipenzi changu Patrick Betwell ' Buba ' Mmasai ' Kamarada ' wangu. Huyo Betwell alikuwa anaujua mpira hadi wengi tulikuwa tunashangaa na kujiuliza ni kwanini hakutaka kwenda Ulaya kwani asingekosa Timu. Hivi sasa yupo zake tu Mkoani Ruvuma ( Songea ) anavuna Mahindi na kushinda tu kunywa Gongo japo makazi yake mengine ni Mkoani Morogoro. Kuna wakati ' Rafiki ' yangu mmoja aliniambia alimuona ' Vibanda ' vya Gongo pale eneo la ' Manzese ' Mkoani Morogoro jirani na Uwanja ule wa Sabasaba akiwa ' kalewa ' chakari na Gongo niliumia, nilihuzunika na kusikitika sana ' Kamarada '.
Sasa boss kwanini usiende kumchukua umweke nyumbani kwako unampenda halafu unaishia kusikitika tu hahahahahaha
 
Mwaka gani? Nakumbuka Nikiwa Pugu nilishuhudia fainali nzuri ya umiseta kanda ya mashariki kibasila ya Salvatory Edward ikiipiga jitegemee mgulani 2-0 na kubeba kombe
Ni kati ya 97 au 98 Mkuu, ilikua umiseta ilala ,kipindi hiko Temeke wako Ally Mayai,Renatus Njohole wakitokea Jitegemee
 
Ni Kiungo ambaye hadi hivi sasa hajawahi kutokea nchini Tanzania hasa kutokana na aina ya uchezaji wake wa nafasi ya Kiungo na ule ' udambwi dambwi ' wake huku akiwa anatokea katika Klabu ya baraka nyingi za Mwenyezi Mungu ya Simba Sports Club anaitwa Shekhan Rashid.

Bahati nzuri ni Kiungo ambaye hata Wana Yanga SC wengi walikuwa wakimpenda na wakimkubali mno kutokana na uwezo wake mkubwa wa kuchezesha timu nafasi ya Kiungo huku akisaidiana vizuri sana na Kiungo mwenzake wa chini na Nahodha wake Selemani Matola a.k.a Veron a.k.a Mzambia.

Mlio katika tv / runinga zenu hebu ' bonyezeni ' Clouds tv katika Kipindi cha Sports Bar muweze kumuona Fundi wa mpira Mchezaji Shekhan Rashid akiwa anatiririka na anaserereka mbele ya ' Kioo ' huku akitoa ' madini ' yake hasa baada ya kuwa nje ya nchi huko nchini Sweden kwa muda mrefu.

Ni Kiungo ambaye nilikuwa nikimpenda sana na nilivyomuona leo amenifanya nimkumbuke sana Mtangazaji wa RTD na ambaye alikuwa ni ' Mnazi ' mkubwa wa Yanga Ahmed Jongo alipomsifia sana Shekhan Rashid katika ile mechi ya Simba na Yanga iliyochezwa Zanzibar katika Kombe la Muungano huku akisema kwamba hajawahi kuona ' engine room ' nzuri kama iliyokuwepo kati ya Shekhan Rashid na Selemani Matola.

Nawasilisha.
Shekhani ata uweke viungo kumi bora kabisa walio wahi kupita Simba hayumo. Achana na viungo walio wahi kupita Tanzania.
 
Shekhani ata uweke viungo kumi bora kabisa walio wahi kupita Simba hayumo. Achana na viungo walio wahi kupita Tanzania.

Umejifunza na umeanza Kufuatilia lini Mpira wa Miguu? Halafu naomba kujua umecheza Mpira wa Kiwango gani? Nataka nijue najibizana na Fundi wa Mpira au ' Mpuuzi ' fulani tu anayenipotezea muda wangu hapa Jamvini.
 
Umejifunza na umeanza Kufuatilia lini Mpira wa Miguu? Halafu naomba kujua umecheza Mpira wa Kiwango gani? Nataka nijue najibizana na Fundi wa Mpira au ' Mpuuzi ' fulani tu anayenipotezea muda wangu hapa Jamvini.
Si kulazimishi, Mtafute mwana Simba anaye ifahamu vizur Simba muulize Kama Shekhan Rashid anaweza kuwemo katika viungo borakabisa Kuwai kutokea Simba? Si zungumzii Timu ya taifa uko ata 50 bora simuoni.
 
Namkumbuka #
Shekhan Rashid ,mechi za umiseta kati ya Azania na Al haramain ,jamaa alikua al haramain ,si mchezo hiyo game ,uwanja wa shule sekondari Pugu, Azania Capt Shafih Dauda

Baadae tukakutana Friends na AFC OPEC. Mikocheni
Naikumbuka sana hio mechi , nilikuwa nasoma Primary ila jamaa zangu walikuwa Aza boy ndio nikaenda nao Pugu
 
Huyo alikuja baadae kabisa Mkuu au umesahau tena! Unaniangusha bhana kwani hizi Kumbukumbu ukiwa mwana Simba Sports Club wa Kindakindaki huwezi ukazisahau mapema yote hii. Mtafute mwana Simba SC yoyote atakukumbusha zadi juu ya hili tafadhali.
Mark Sirengo alitangulia Simba kabla ya Ulimboka Mwakingwe , ingawa nae alicheza kwa mda mfupi sana
 
viuongo bora muda wote ni Shekhan rashid na Ramadhan chombo redondo,,
Hakika soka la bongo linazidi kuua vipaji shekhan rashid alikua na kiwango cha kucheza psg,madrid,,lkn wapi,,
 
Simba hiyo ilikuwa:
  1. Juma Kaseja
  2. Said Swedi
  3. Ramadhan Wasso
  4. Boniface Pawasa
  5. Patrick Betwell ' Buba ' Mchezaji Kipenzi changu na Mmasai anayejua kucheza mpira hadi anakera
  6. Seleman Matola a.k.a Veron a.k.a Mzambia
  7. Steven Mapunda a.k.a Garincha
  8. Shekhan Rashid a.k.a Injini
  9. Joseph Kaniki a.k.a Golota
  10. Emanuel Gabriel Mwakyusa a.k.a Batigol
  11. Ulimboka Mwakingwe
Simba hii kila wakati ' Mashabiki ' majukwaani tulikuwa ' tunatapika / tunashangilia ' tu kwa raha zetu huku wengi wetu tukiwa muda wote tunakula ' Bisi ' na Vinywaji baridi meno yote 32 nje kama ' Ngisi ' vile.
Hahahhahahhaa umenifurahisha sana mkuu hahahha
 
Shekhani ata uweke viungo kumi bora kabisa walio wahi kupita Simba hayumo. Achana na viungo walio wahi kupita Tanzania.
Haaaa haaa huwez kuwa unamjua vzr shekhan rashid wewe, jamaa alikua anaujua sana mpira kimsingi alikua na kipaji kikubwa sana japo hakua mpenda mazoezi. Mwaka 2000 na 2001 alikuja Mji mpwapwa na Mimi nilikua hapo. Jamaa ni fundi haswaa. Ni moja ya viungo bora kbs kutokea hapa tz
 
Ni Kiungo ambaye hadi hivi sasa hajawahi kutokea nchini Tanzania hasa kutokana na aina ya uchezaji wake wa nafasi ya Kiungo na ule ' udambwi dambwi ' wake huku akiwa anatokea katika Klabu ya baraka nyingi za Mwenyezi Mungu ya Simba Sports Club anaitwa Shekhan Rashid.

Bahati nzuri ni Kiungo ambaye hata Wana Yanga SC wengi walikuwa wakimpenda na wakimkubali mno kutokana na uwezo wake mkubwa wa kuchezesha timu nafasi ya Kiungo huku akisaidiana vizuri sana na Kiungo mwenzake wa chini na Nahodha wake Selemani Matola a.k.a Veron a.k.a Mzambia.

Mlio katika tv / runinga zenu hebu ' bonyezeni ' Clouds tv katika Kipindi cha Sports Bar muweze kumuona Fundi wa mpira Mchezaji Shekhan Rashid akiwa anatiririka na anaserereka mbele ya ' Kioo ' huku akitoa ' madini ' yake hasa baada ya kuwa nje ya nchi huko nchini Sweden kwa muda mrefu.

Ni Kiungo ambaye nilikuwa nikimpenda sana na nilivyomuona leo amenifanya nimkumbuke sana Mtangazaji wa RTD na ambaye alikuwa ni ' Mnazi ' mkubwa wa Yanga Ahmed Jongo alipomsifia sana Shekhan Rashid katika ile mechi ya Simba na Yanga iliyochezwa Zanzibar katika Kombe la Muungano huku akisema kwamba hajawahi kuona ' engine room ' nzuri kama iliyokuwepo kati ya Shekhan Rashid na Selemani Matola.

Nawasilisha.
Nitajie kwann Rashid aliaxhuka parformance yake n kuachwa n simba Nitajie nikupe ela y vocha
 
Nitajie kwann Rashid aliaxhuka parformance yake n kuachwa n simba Nitajie nikupe ela y vocha

Kama sitaki Hela ya Vocha na nataka ' Kiungo ' chako ' Kitamu ' unachokimiliki utakuwa tayari kunipa ili nikupe hizo sababu?
 
Ngoja nikusaidie mweu ww ilikuwa Mechi ya mikoa jamaa alikuwa anachezea mzizima ambayo kwa Sasa ndio dar aliumia vibaya sana enka y Mguu w kushoto ndio ilimpoteza kweny soka l ushindani
 
Back
Top Bottom