Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Hzo gari za namba B ambazo kali ni zile za juu nying cruiser na min SUV chache ka RAV4 na ESCUDO
Ila kwa utunzaji wa magari wa kibongo wa bila service za kueleweka namba B nying zina hali mbaya kuanzia bodi hadi injini na sio B tu had D za mwanzon..
Kwa hyo tuache stori za gari sio namba labda Japan huko ila sio bongo hapa kwa wazee wa SAE 40
Uwezo hawana,masharti kibao!Lakini point ya msingi anaenunua gari kwa namba hana hela ya kuagiza au kwenda showroom....ππππ yaaaa ....heeeaaaarrddd
Point kubwa sana. Bei ya engine Toyotas 1m-3m tu sasa ukikuta gari body kinanda engine imekufa si unanunua nyingine unakuwa na gari bomba kabisa! Sasa wewe uwe na engine kali body huna utaweza kununua body nzima? Taa tu set ya gari nzima inazidi 1mKuna jamaa juzi nilikua namsikiliza anabishana na mwanae jamaa ni dalalai, anamwambia sikuhizi gari ni body sio engine. Engine si unavua unaweka ingine ila kama body bovu huuzi gari hioπππ! Kimsingi niliona ana point
Eeh sikuhizi body ndio cha msingiπππPoint kubwa sana. Bei ya engine Toyotas 1m-3m tu sasa ukikuta gari body kinanda engine imekufa si unanunua nyingine unakuwa na gari bomba kabisa! Sasa wewe uwe na engine kali body huna utaweza kununua body nzima? Taa tu set ya gari nzima inazidi 1m
Yani utachangia mafuta kwa kiwango cha nauli ama? Au utachangia kiwango ganiNahitaji msaada Wa usafiri kutoka Dar kwenda Mwanza kwa siku ya kesho ntachangia mafuta 0785638531
Kuna Harrier old 1MZ-FE nauza 13.5M mkuu iko piru sana ntaftie mwamba nimuwekeUwezo hawana,masharti kibao!
Wewe mwenyew gari ambayo ni plate no A huwezi kununua ata kama engine itakuwa piruu kwa kiasi gani mzee wangu ni lazima utatafuta gari yenye no plateza ivi karibuni mfano no D au no ELakini point ya msingi anaenunua gari kwa namba hana hela ya kuagiza au kwenda showroom....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaaaa ....heeeaaaarrddd
Hahahahah hata namba sio ishu, si unaenda ku renew kibao tu kwa wale jamaa. Elf 17 yako tu kinachongwa kipyaSiku hizi kinachomata zaidi ni body mzee wangu watu wanaaangalia mngao wa body na no plate
Mzee mimi naagiza vyuma toka Japenga..mambo ya plate number ni kipindi nastruggle kupata chuma ya kwqnza...ππππWewe mwenyew gari ambayo ni plate no A huwezi kununua ata kama engine itakuwa piruu kwa kiasi gani mzee wangu ni lazima utatafuta gari yenye no plateza ivi karibuni mfano no D au no E
Kama ni mtu wa kuangalia namba peleka Zanzibar sajili alafu tena ilete Bara isajili tena inakuwa na namba mpya E!Sasa sisi wazee wa B hali si ndio itakua mbaya sana π
π π π πKumbuka kuikatia bima!
Tipo vizuriMzigo tayari hii ni ni 22/08/2022 mzigo tayari uko mtaani kazi ni juu yako wewe mwenzangu na mimi wale wa no c uzen magari yenu mapema maana yanaenda kushuka thamani kwa kiwango cha ajabu
Haya wale wa kuvuta mchuma December kazi kwenu
Mzigo huu hqpa
View attachment 2331422View attachment 2331423