Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Hahahaha hapo safinasubiri niweke jina langu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha hapo safinasubiri niweke jina langu
Hzo gari za namba B ambazo kali ni zile za juu nying cruiser na min SUV chache ka RAV4 na ESCUDOKuna watu wana BP na bado kali
Na mimi niwe dereva wakoHaya niuzieni hizo namba c na d kwa Bei ya kale
Namba zinaanzia 101 mpaka 999 kwa hiyo ni kama gari 898 hivi, si ndio hivyo mkuu?Hivi mnajua hizo namba zinawakilisha magari mangapi yaliyonunuliwa toka herufi moja hadi nyingine? Semeni tuwafundishe hiyo algorithm kama hamjui!
kumbe watu mnanunua magari ili mg'oe pisi kali [emoji15]Watu wana AAA bado wanang'oa pisi kali
Ndiyo. Hatuangalii gari imetengenwzwa lini, bali imesajiliwa lini. Huu ni usajili wa gari.Hivi ukiagiza gari ya mwaka 1999 na yenyewe si inawekwa na namba E kama wa gari ya mwaka 2022
[emoji23][emoji23][emoji23]
Ata iwe na ndinga kalu kivip ila kama plate no ya zamani basi ujue iyo ni miyeyusho mnunua hatonunu mfano no A automaticak beo yake sasa ivi itachezea kwenye 500000 mpaka milion haitoweza kuzidi apoNdiyo. Hatuangalii gari imetengenwzwa lini, bali imesajiliwa lini. Huu ni usajili wa gari.
Jesus is Lord
Moods, badili title ya huu uzi usomeke, 'Tuliosubiri No E, tukutane hapa'!Mzigo tayari hii ni ni 22/08/2022 mzigo tayari uko mtaani kazi ni juu yako wewe mwenzangu na mimi wale wa no c uzen magari yenu mapema maana yanaenda kushuka thamani kwa kiwango cha ajabu
Haya wale wa kuvuta mchuma December kazi kwenu
Mzigo huu hqpa
View attachment 2331422View attachment 2331423
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Kwamba makapuku wasio na magari huwa wanahaika na plate no Ila wenye magari wametulia tuli.Nmeshangaa mfanyakazi wangu nae kaweka status hizo plate no huku akisema mambo ni fire.Hii dunia Ni ngumu.
Pisi hazijuagi namba za magari. Pisi zingine hata kutofautisha namba za private na serekali haziweziWatu wana AAA bado wanang'oa pisi kali
Lakini point ya msingi anaenunua gari kwa namba hana hela ya kuagiza au kwenda showroom....😂😂😂😂 yaaaa ....heeeaaaarrdddWatu hawajui apa mjini no plate ndo ina Mata kwebye gari