Haya wana Yanga SC kaandamaneni CAF kwani CEO wa Simba SC Barbara Gonzalez 'aula' huko

Huyu aliyeanzisha huu Uzi ndiyo MImi?
 
Wewe ndo yule jamaa uliyesema una followers 117 kwenye greater thinkers!!! Hakiyamunguuuuuu!!!
 
Mi sijawahi kukuelewa mwamba!! Yaani una thread flani za umbea,,,
 
Cheo Kikubwa sana Mkuu ambacho naogopa hata Kukitaja hapa kwani Watu wa Yanga SC wataitisha Maandamano na Injinia Hersi Said ( Rais wa Yanga SC ) nae kwa Aibu na kuzidiwa mbali na huyu Mwanamke atajisikia Aibu na kuomba Kujiuzuru kabisa.
dahh we jamaaa[emoji23][emoji23][emoji23] unaofia usalama wako endapo utaiktaja
 
Nasikia manara kapewa lesen ya kunywa gongo cuf ya lipumba [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Duuuuh daaaaah!!!!
 
Hakuna uhusiano wowote wa barbara na eti simba kuwa ni timu kubwa

Ina ukubwa gani?
Labda ungesema jina kubwa
Ukubwa huo katika nini?juzi hapa chupuchupu kupoteza kwa Kmc bila juhudi za mwamuzi mlikua mmelala

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Aisee..Kwahivyo Manchester United kupoteza dhidi ya Brighton kunaondoa ule ukubwa wake kama timu.

Kama ambavyo Simba SC alivyoponea chupu chupu kama unavyodai dhidi ya KMC FC ule ukubwa wake unaondoka..?!
 
Moja kati ya mizigo aliyonayo mama ni pamoja na kuwa na watu wanaojiita mashabiki wa Simba katika ardhi ya Tz.

Mwaka 2015 vipaumbele vitatu vya Lowassa vilikua ni Elimu, Elimu Elimu. Tunaomba mama atusaidie kwa hili kuna wajinga wengi hapa wanajiita wasomi. Ni wananchi ndio tunapata tabu
 
Huyo demu kaonekana Simba tu, au hujui hata AS VITA wana CEO mwanamke tena mwenye uhawishi tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…