Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanin boss mbona nasikia wachambuzi wanasema yanga wataanzia goli tatu bilaYanga 0-1 Al Hilal
Wachambuzi booongo? Wakijitahidi sana drookwanin boss mbona nasikia wachambuzi wanasema yanga wataanzia goli tatu bila
DuuhWachambuzi booongo? Wakijitahidi sana droo
Wachambuzi booongo? Wakijitahidi san
nimejaribu tu kufikiria hii mechi binafsi sina matokeo ila timu mojawapo lazima ilieKwanini tutabiri wakati mechi itachezwa masaa machache kutoka sasa.
Ila Al hilal anapigwa kama ngoma leo 🥁🥁🥁🥁
Aisee pole sana, lakini ikawe heriTumbo joto hapa nilipo.
Inshallahaisee pole sana, lakini ikawe heri
Haaa haaa ukiwa na timu Mandonga inakuwa hivyoTumbo joto hapa nilipo.
Oyaaa..😂 acha basiHaaa haaa ukiwa na timu Mandonga inakuwa hivyo
Wachambuzi bongo ni wehu wehukwanin boss mbona nasikia wachambuzi wanasema yanga wataanzia goli tatu bila
TawireYanga 0 Hilal 1
leo mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara wanacheza mechi kubwa. Kulingana na rekodi zao na wapinzani wao je, unadhani nani atachomeka au kuchomoa?